rapamsomi90
Member
- Dec 20, 2012
- 11
- 1
sooo true kaka, DHL na FEDEX ni too expensive, istoshe kuna sellers wanauza cheap na wanaship hadi ps3 fully equiped kwa dola 35 kuja tz via usps., nitaitumia myus for official websites tu.
Kwa sasa nimesitisha kidogo hizi shopping online maana CRDB nikipata refund hawaniwekei hela yangu kwenye acc hii imenikatasha tamaavkabisa kwa sasa nafukuzia Banc ABC Visa travel ambayo wanakutengenezea within one day inaanza kazi
Nimewachagua hawa maana kuna kipindi nilipokea Refund kubwa tu after two days nikaendelea kutumia hiyo hela iliyorejeshwa ubovu hii ilikuwa card ya ndugu yangu hivo na mm nimeona hii itanifaa
Kaka nimeshajiunga ila nimeambiwa kuna code IPO kwa statement so my QN is inachukua muda gani mpaka nikaichek kule katka statment? Au kuna other way yakuweza kuipata hiyo code
Hebu fafanua hapa mkuu: kununua physical address marekani na wewe uko bongo unafanyaje fanyaje?
Ana maana kanunua nyumba US wakati yeye anaishi bongo!
Teh teh teh teh!
Mkuu hapa kuna km vitu vitatu CRDB,Paypal na Hawa Mastercard ina maana ebay wakirefund watuma paypal na paypal wanatuma Mastercard kwa system ambayo ni automatic ila sasa issue inakuja kutoka Mastercard kuja CRDB system sio auto so inabidi ukishapata mes ya paypal foward hiyo statement ya paypal crdb customercare ili apewe mtu anayeshughulikia mambo ya Mastercard ili aweze kuclaim hiyo hela toka Mastercard kwa kutumia hiyo statement ya paypal na details nyingine utazotoa fasta hela yako utapata ila sasa ukifika counter CRDB kwa issue km hii angalia staff wa kumface wengi mambo haya hawajui ni mbumbuu kiasi kwamba atakukatisha hata tamaa,ila upande mwingine ukishapata mes ya paypal ina maana hela tiyari inakuwa kwenye mastercard yako ukifanya manunuzi yoyote online unalipia kwa kutumia hiyo hela yako na system inakubali tuKwa sasa nimesitisha kidogo hizi shopping online maana CRDB nikipata refund hawaniwekei hela yangu kwenye acc hii imenikatasha tamaavkabisa kwa sasa nafukuzia Banc ABC Visa travel ambayo wanakutengenezea within one day inaanza kazi
Nimewachagua hawa maana kuna kipindi nilipokea Refund kubwa tu after two days nikaendelea kutumia hiyo hela iliyorejeshwa ubovu hii ilikuwa card ya ndugu yangu hivo na mm nimeona hii itanifaa
Mkuu hapa kuna km vitu vitatu CRDB,Paypal na Hawa Mastercard ina maana ebay wakirefund watuma paypal na paypal wanatuma Mastercard kwa system ambayo ni automatic ila sasa issue inakuja kutoka Mastercard kuja CRDB system sio auto so inabidi ukishapata mes ya paypal foward hiyo statement ya paypal crdb customercare ili apewe mtu anayeshughulikia mambo ya Mastercard ili aweze kuclaim hiyo hela toka Mastercard kwa kutumia hiyo statement ya paypal na details nyingine utazotoa fasta hela yako utapata ila sasa ukifika counter CRDB kwa issue km hii angalia staff wa kumface wengi mambo haya hawajui ni mbumbuu kiasi kwamba atakukatisha hata tamaa,ila upande mwingine ukishapata mes ya paypal ina maana hela tiyari inakuwa kwenye mastercard yako ukifanya manunuzi yoyote online unalipia kwa kutumia hiyo hela yako na system inakubali tu
Hii kitu mi nliiona tangu mwanzoni (refer attachment). Sema labda wadau hamkunielewa. Bora sasa tuna ushuhuda so sasa hv wadau tutafanya proper decisions tukitaka kufanya manunuzi ya mtandao. Cc @ njunwa wa mavoko
Hii mes umaweza kuifoward kwa email hii Customer-hotline@crdbbank.com na ikishapokelewa utajibiwa au zaidi kuna hawa staff Peter.Mwalongo@crdbbank.com,tmwambapa@crdbbank.com na Fadhil.Bushagama@crdbbank.com hawa ndo wanashughulikia mambo ya Mastercard pale H/Office unaweza wasiliana nao moja kwa moja ili kuweka pressure si unajua volume kubwa walokuwa nayo CRDB kitu kinhone ambacho tunaswa kujua ina maana tunakuwa na acc zetu kwa Mastercard km bank vile maana mimi ilishawahi kutokea nikafanya manunuzi hela ikakatwa toka CRDB kwenda Mastercard lkn system yao ikawa haiko sawa ikabidi wanirefund sasa kicheko ktk kurefund wakadouble amount nami nikailamba kilichofata baada ya kugundulika wanifungulia overdraft (-balance) kila nilipokuwa nafanya manunuzi hela inakatwa CRDB ikipelekwa Mastercard wanaimeza mpaka deni lilipokwisha mambo yakawa sawa kwa hiyo hiyo inaonyesha hela yako ikiwa refunded inakuwepo tu kwenye acc yako ya Mastercard ila sasa ikikaa muda mrefu sijui wanakuwa na utaratibu gani labda unaweza fanya mawasiliano nao kujua utaratibu waoMkuu hapo ndo umenifungua macho labda kusema kuna system kutoka paypal→Mastercard→CRDB nahisi mm sikuwa na uelewa maana nikipokea refund naisubiri ionekane kwenye bank statement mwisho wa mwezi lkn huwa sioni hapo ndo naenda bank
Kuhusu kufanya purchase kwa hela iliyo kwenye mastercard na haionekani kwenye CRDB sidhani kama kuna ukweli labda napo unifafanulie maana mm hizo refund sijaona manufaa tokea nizipate
Kuhusu kuforward message sijaelewa unaituma kwa njia ya email au?
nimeelewa fulani baada ya kuchukua kama 30minutes kusoma
consolidation------Yaani unaweza ukanunua mizigo mitano afu bado ika-packiwa kama carton moja ku-minimize cost
Merchandise-----Mzigo utakaotumiwa
repackaging-----Kuna merchants wana-pack mzigo kiasi kwamba unakua mkubwa hivo myUS wanaweza repack huo mzigo ili kupunguza uzito...hivo kukupunguzia hipping fee
Simu yako haukuilipia ushuru sababu The TAX/DUTY DEMINIMUS in TZ is 50$ yaani mzigo uliochini ya hiyo thamani hautozwi ushuru
Japo sikuelewa hapo juu uliponambia umedeposit 55$...hizi zote zilikuwa zakusafirishia simu au ni nn?
This is BEST thread form 2013 ....maana hamna thread JF mwaka huu imeniongezea Knowledge zaidi ya hiiTHANKS FOR SHARING
Mkuu habari, naomba unielekeze jinsi ya kununua hizo items kwenye link hapo chini, na vitanigarimu kiasi gani? na kuvipata itachukua muda gani?. Thanks
New Curren Modern Men's Brown Leather Band Quartz Watch Black Gift | eBay
LG Nitro HD 4GB at T Unlocked 652810117654 | eBay
njunwa wamavoko basis mi Leo nimeenda kuomba hyo statement but cjaona paypal wala nin  na Leo ni cku ya 4 kwanza hot statement haijaonyesha transaction yoyote nliyo ifanya online only zile za ATM and tigopesa wakat tayar nsha nunua vitu kama vi3 na vimesha kuwa shipped tayari em help me wew ulifanyaje ukaiona hiyo code ya PayPal yakucomfirm? na uliiona wapi? 
njunwa wamavoko basis mi Leo nimeenda kuomba hyo statement but cjaona paypal wala nin  na Leo ni cku ya 4 kwanza hot statement haijaonyesha transaction yoyote nliyo ifanya online only zile za ATM and tigopesa wakat tayar nsha nunua vitu kama vi3 na vimesha kuwa shipped tayari em help me wew ulifanyaje ukaiona hiyo code ya PayPal yakucomfirm? na uliiona wapi? 