Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
mkuu nilikua natumia sana tuu, kwakua ninampenda si unajua tena magonjwa mengi siku hizi.
Swadakta safi sana mkuu! Ukiteleza tena usiache kutumia
mkuu nilikua natumia sana tuu, kwakua ninampenda si unajua tena magonjwa mengi siku hizi.
Mpwa kuwa makini na hiyo tabia haijengi inabomoa kama uliamua kuoa unatkiwa usione nje ya mkeo....mazuri/matamanio yeye anamapungufu gani? hio ndio sababu kubwa tuna watoto wa mitaani incase of diseases....vitabu vitakatifu vinasema TAMAA HUZAA ZAMBI, ZAMBI HUZAA MAUTI.
Waswahili bwana, ulipoanza kucheet ulituambia? Leo umeacha ndo unatutangazia, ingefaa uweke majibu ya Angaza ndiyo utaeleweka, vinginevyo mimi nahisi umeshaukwaa ndiyo unamrejea mwenzio.
[/COLOR]
hii kitu haitakuja kutokea tena, never.
yani hapa ndio naanza maisha mapya nikiwa nimeamua kubadilika.
mabadiliko sio mpaka uokoke, but kubadili tabia na msimamo tuu!.
naona kweli mpwa wangu porgie anaumia sana!i can't believe kwamba nashindwa kuchangia anything
hahahahaha!mpwa bana!dah!?Kuchangia hapo mpwa ni ngumu, yaani uji komit kula wali maharage fo ze resti ofu yua laifu, hapo mpenzi wangu atanisamehe na mimi pia nimekwisha msamehe kama akitaka kubadili mboga aende cha msingi nisijue.
Kuchangia hapo mpwa ni ngumu, yaani uji komit kula wali maharage fo ze resti ofu yua laifu, hapo mpenzi wangu atanisamehe na mimi pia nimekwisha msamehe kama akitaka kubadili mboga aende cha msingi nisijue.
hahahahaha!mpwa bana!dah!?
dah!naona mpwa ulipambana na KINU CHA AJABU,kiasi kwamba hutaki kukumbukabinamu hapo sasa unakosea, wali maharage kivipi tena?, inatakiwa mnabadilisha mboga nyie wenyewe, tena mnaanzisha bustani yenu wenyewe na mnaimwagilia maji mbona full mboga saba!!. mi nimeshastukia ndio maana nimeamua kulima bustani na kumwagilia mwenyewe mboga zangu, yuo noo waramm sayyiiiiiiing??
Nimeona umegonga senkyu pale juu, na wewe mpwa uatoa kiapo cha utiifu? nina dauti kama utaweza kudumu na kiapo chako hata wikiendi mbili tu.