My Confession

GP

JF-Expert Member
Feb 5, 2009
2,049
160
mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti. roho ilinimua sana tena inaniuma sana kuona napata na ninapewa kila nikitakacho toka kwake (yale yaliyo halalishwa only) na mengine ni zaidi na matamu kuliko huko vichochoroni, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
napenda pia kuchukua fursa hii kutubu kwa mai waifu wangu popote alipo kwamba anisamehe sana na nina ahidi kuanzia leo kwamba mimi na yeye ni kufa na kuzikana. na wala sitarudia tena kumchiti.
wanaJF wenzangu, mabinamu, mashemeji na wazee wa kujiexpress jamani nyama ni nyama, tutamaliza mabucha but nyama ni ile ile, tubadilike.
nimeamua kubadilika kuanzia sasa.

oui, j'ai décidé de me changer, parce que la charité commencent à la maison….

eeeh Mwenyezi Mungu nisamehee kwa kumchiti mai waifu wangu.
 
Hivi ukiupeleka huu ujumbe kwake na yeye akakujibu vivyo hivyo kuwa nae ana confess what will you do?
 
mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti.


hehehehehehe!mkuu hapa umeua:D
 
Umemwambia lakini?
ndoa bado changa kwasasa ndugu yangu, ntamwambia tu.
ila imeniuma kiasi ambacho nimeona machungu nije niyaseme hapa kwa mabinamu na wapwa atleast wanipe mawazo nini nifanye, kivipi nimuanze kumwambia my confession.
 
Hivi ukiupeleka huu ujumbe kwake na yeye akakujibu vivyo hivyo kuwa nae ana confess what will you do?

nitakubali tu mkuu, si unajua maji umeyavulia nguo huna budi kuyaoga. nitapokea confession yake kwa mikono miwili kabisa ili tusahau na kuanza upya.
mpwa nimeamua kubadili maisha yangu kwa kuanza kutubu. natafuta pozi la kumuingia ili anielewe
 
Je ulikuwa unatumia ndomu huko uchochoroni? Kama ulikuwa hutumii ongoza angaza ukapime kabisa
 
Mkuu ingependeza kama waraka huu angekuwa anatumiwa wife nadhani licha ya roho kumuuma angekuhurumia vilevile
 
mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti. roho ilinimua sana tena inaniuma sana kuona napata na ninapewa kila nikitakacho toka kwake (yale yaliyo halalishwa only) na mengine ni zaidi na matamu kuliko huko vichochoroni, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
napenda pia kuchukua fursa hii kutubu kwa mai waifu wangu popote alipo kwamba anisamehe sana na nina ahidi kuanzia leo kwamba mimi na yeye ni kufa na kuzikana. na wala sitarudia tena kumchiti.
wanaJF wenzangu, mabinamu, mashemeji na wazee wa kujiexpress jamani nyama ni nyama, tutamaliza mabucha but nyama ni ile ile, tubadilike.
nimeamua kubadilika kuanzia sasa.

oui, j'ai décidé de me changer, parce que la charité commencent à la maison….

eeeh Mwenyezi Mungu nisamehee kwa kumchiti mai waifu wangu.

Bravo shemeji.

But some secrets are made to remain secrets. Usimwambie bali badilika tu na umwonyeshe kuwa umebadilika na UACHE kweli kucheat. You never know ukimwambia anaweza akaipokea na kukusamehe ndio but imani yake haitakuwa imeshake ? siku mkikinzana lugha kidogo tu atajua bado unaendelea. Duh sijui ni sawa maana hata sijui nikushaurije!
 
mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti. roho ilinimua sana tena inaniuma sana kuona napata na ninapewa kila nikitakacho toka kwake (yale yaliyo halalishwa only) na mengine ni zaidi na matamu kuliko huko vichochoroni, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
napenda pia kuchukua fursa hii kutubu kwa mai waifu wangu popote alipo kwamba anisamehe sana na nina ahidi kuanzia leo kwamba mimi na yeye ni kufa na kuzikana. na wala sitarudia tena kumchiti.
wanaJF wenzangu, mabinamu, mashemeji na wazee wa kujiexpress jamani nyama ni nyama, tutamaliza mabucha but nyama ni ile ile, tubadilike.
nimeamua kubadilika kuanzia sasa.

oui, j'ai décidé de me changer, parce que la charité commencent à la maison….

eeeh Mwenyezi Mungu nisamehee kwa kumchiti mai waifu wangu.

Shemeji yangu kipenzi kwanza naanza kusema kuwa nimesikitishwa sana na kuhuzunishwa sana!!

Huyu uliyemcheat niyule uleyekuja kutoa ushauri hapa kwamba umemwambia kuwa mkapange akakwambia kuwa jipange kwanza kabla ya kwenda kwenye maamuzi hayo?

Pili huyu uliyemcheat ni yule uliyemsema kuwa bado yuko chuo na amemaliza juzijuzi Engineering?

Tatu huyu uliyemcheat ni yule uleyesema kuwa ukimtumia credit hana haja hata ya kusema asante wala kukupigia pindi anapokuwa anakuhitaji?

Nne huyu uliyemcheat ni yule uliyeniambia kuwa kila anapokuwa na safari lazima akupe taarifa kukuondoa shaka?

Tano huyu uliyemcheat niyule aliyekuwa anayetoka out na mshikaji wake ambaye wamesoma wote enzi hizo za nyuma mchana wakati wa lunch na wewe kuumia?

Sita huyu uliyemcheat ni yule uliyekwenda naye vacation na ukaja kuaaga JF?

ukinijibu nami nitanena.
 
At least you are a man enough to admit. The most imortant thing is , you havve realized your mistake. Dont tell her anything, but do your best to love and respect her.
 
George_Porjie watu wanakumbukumbu duh haya ukijimix tu umekwisha utaonekana chovya chovya.
 
Kama kweli uko serious ubarikiwe na bwana
nenda kwa wife ukatubu sisi hatumjui so hatuwezi kwenda kumwambia mmeo ametubu alikuwa anakuchit sasa amechoka
haya nenda kaandae romantic dinner umpe hiyo confiession yako
 
nitakubali tu mkuu, si unajua maji umeyavulia nguo huna budi kuyaoga. nitapokea confession yake kwa mikono miwili kabisa ili tusahau na kuanza upya.
mpwa nimeamua kubadili maisha yangu kwa kuanza kutubu. natafuta pozi la kumuingia ili anielewe
Umeulizwa swali - je naye aka confess kwako kama ulivyoconfess kwake....seriously utasamehe au unafurahisha baraza?
 
mimi George Porjie, nikiwa na akili timamu na wala sijalazimishwa na mtu yoyote, najitokeza mbele yenu wanajamii wote wa JF na wengineo, ili muwe mashahihidi wangu. leo kwa dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu pasina kushurutishwa na mtu yoyote, kwani moyo wangu umekua ukiniuma sana hasa pale nimuonapo mai waifu wangu kwamba kuna kipindi nilikua namchiti. roho ilinimua sana tena inaniuma sana kuona napata na ninapewa kila nikitakacho toka kwake (yale yaliyo halalishwa only) na mengine ni zaidi na matamu kuliko huko vichochoroni, nimekuja kugundua kwamba mwisho wa siku ladha, utamu na mengineyo ni sawa sawa kwa wanawake wote, kwani simu ni simu tu mambo ya kwamba ina kamera, ina slide au ina bluututhi hizo ni mbwembwe tuu!!.
napenda pia kuchukua fursa hii kutubu kwa mai waifu wangu popote alipo kwamba anisamehe sana na nina ahidi kuanzia leo kwamba mimi na yeye ni kufa na kuzikana. na wala sitarudia tena kumchiti.
wanaJF wenzangu, mabinamu, mashemeji na wazee wa kujiexpress jamani nyama ni nyama, tutamaliza mabucha but nyama ni ile ile, tubadilike.
nimeamua kubadilika kuanzia sasa.

oui, j'ai décidé de me changer, parce que la charité commencent à la maison….

eeeh Mwenyezi Mungu nisamehee kwa kumchiti mai waifu wangu.

Au ile vacation ndo ulikuwa umeoa?

Umeoa Lini wewe kijana au ndo unatuzuga?

Mtoto kamaliza juzi chuo na yuko kwao wewe upo kwenu ndo mlikuwa na mpango mkapange mkazinguana leo hii unamwomba msamaha your wife?

Are you serious?????

kukuonea huruma nisianike vyoote nipm na uniombe msamaha na topic uitoe hapa ASAP
 
au ile vacation ndo ulikuwa umeoa?

Umeoa lini wewe kijana au ndo unatuzuga?

Mtoto kamaliza juzi chuo na yuko kwao wewe upo kwenu ndo mlikuwa na mpango mkapange mkazinguana leo hii unamwomba msamaha your wife?

Are you serious?????

Kukuonea huruma nisianike vyoote nipm na uniombe msamaha na topic uitoe hapa asap

hahahaaaaaaa chaku unanifanya nianze kuwa private investigator
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom