Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
binamu hapo sasa unakosea, wali maharage kivipi tena?, inatakiwa mnabadilisha mboga nyie wenyewe, tena mnaanzisha bustani yenu wenyewe na mnaimwagilia maji mbona full mboga saba!!. mi nimeshastukia ndio maana nimeamua kulima bustani na kumwagilia mwenyewe mboga zangu, yuo noo waramm sayyiiiiiiing??
Mpwa mimi naona hapo utakuwa haubadili mboga bali ni kubadili viuongo tu, lakini hata yaungwe vipi maharage ukiyala kila siku yanaboa.Ila umechukua uamuzi wa busara mpwa nasubiri nizeeke zeeke labda nitakufuata ulipo.