Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Haitaji ushauri wowote, siku hizi ameshakuwa mrembo. Make up imemkubali kweli kweli.
Hongera Kanumba, upo juu kwenye filamu.
Mie sio public figure kihivyo kama alivyo jamaa.....mie underground
Ushauri gani mkuu?Mmhh hii kali.
Mijitu mingine bana......kosa lake ni nini hapo?
kijana anaweza akawa na matatizo, sio kitu cha kawaida, inasikitisha sana vijana kama hawa kuwa na tabia kama hizo, au nae anataika kuwa kama yule aliyelazwa pale mwananyamala hosp then akafa, sio issue man kujireeeeeeeeeemba sana
Kanumba the great......actor,director wa filamu za kibongo....Hivi huyu ni nani?
labda nikuulize kazi ya lipstic ni nini?Mwanaume kupaka lipstick ni balaa jamani mwe! huyu kijana ni handsome ila madawa kwenye nywele yameharibu kila kitu.
Ila ndivyo apendavyo, hatuna comment.
Ushauri gani tena. Kama mahakamani yeye mwenyewe hakuwa anakwenda hadi kesi yake ya kupasuliwa kioo na Wema ikafutwa
kupauka uso au kuwa mchafu mchafu sio dalili ya uanaume vijana....jamaa anapaka mafuta anang'ara tatizo liko wapi?jamani muacheni YO YO wa watu.
Yeye ndo anapenda uzuri hivyo na mademu wamnamzimia ile mbaya.
Siku hizi siangalii filamu zao maana unaweza kutabiri nini kinafuatia na vilevile sauti hovyo yaani kila kitu hovyo kabisaaaaaaaaa!!