Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Samahani,
Naomba kuuliza ukiwa una ka-kiosk kako, na umwemwajiri muuza ka-kiosk hako... akawa wateja wakinunua vitu akirudisha chenji arudisha zaidi kwa wateja wake... Na wateja wanachukua wanaendelea wanarudi na siku nyingine hivyo hivyo mpaka kaduka kako kanatereka...
Nani wakumfuata... muuza kiosk chako? au mteja?
I mean:
Muuza duka... ni mtumishi wa umma
Mteja ndio:... huyo RA
Rostam si mteja...! hana mfanano na mteja.. hatendi kama mteja.. mteja akijua amepewa chenji asiyostahili na akaamu kuibania anavuka mpaka wa mteja na kuwa .....