Mwitikio wa serikali na wananchi kusaidia wahanga wa milipuko ya Mbagala

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
Manji, Mengi 'wamwaga' misaada Mbagala

Inaweza kuwa ni kutokana na moyo wao wa kujitolea wka jamii lakini kutokana na 'uhasama' wao inaweza kuonekana kama ushindani. Sasa hivi Manji yuko huko Temke akitoa misaada kwa waathirika wa milipuko ya mabomu. Wakati huo huo, taarifa zinasambazwa pia kuwa Mengi naye anaelekea huko Temeke kwenda kutoa misaada kwa waathirika. Yeye atakabidhi misaada kwenye ofisi ya meya wa Temeke saa sita mchana huu
 
Hata kama kuna tuhuma dhidi yao, huu ni moyo wa kusaidia wanyonge; kwani uliwahi kusikia Chenge akisaidia popote?
 
RA naye atafika lini?

Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo

Now I know You!!!!!!!!!!!!!
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Mwizi hana uzuri wowote...
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo

I doubt about your conceptual understanding on governance, and more specifically about the concept of state capture. Rostam Aziz is an agent mercenary of state capture. It is not business but your state has already been captured!
There is nothing to cherish or good practice to learn from Rostam Aziz!
Penda nchi yako ndugu. Chukia mafisadi ndugu.
 
That's cool kutoa misaada but is important the government to be responsible not relying on well wishers
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo

Aisifiae mvua.....kwi kwi kwi.....
 
Inaweza kuwa ni moyo wa kujitolea, au kwa upande mwingine pia inaweza kuwa ni namna tu ya kujikosha kwa serikali. Kina mmoja wao ( Manji na Mengi) kwenye nafsi yake anajua ni kwa nini anafanya hivyo!
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo

we bwana vipi? yaani tungekuwa na wezi wengi wanaowaibia masikini (walipa kodi) ndo tungeendelea? Tell Kagoda Agricultural Ltd imefanya nini cha kujivunia kwa wakulima? imeiba bil.40 Bank kuu ya walalahoi. Huko ndo kutaleta maendeleo?

duh! kumbe wale jamaa wa New Habari Co.. hawajifichi...
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo

Inaonekana hufahamu rushwa ni nini na jinsi inavyoweza kuathiri uchumi na maisha ya jamii husika. Au umeamua kujifanya hujui ili kuonesha ni jinsi gani ulivyo wa ajabu.

Then, unaonesha wewe huathiriki na wizi unaofanywa na RA et al kwa sababu tu hauko Tanzania au si Mtanzania. And you imply that you are not part of the solution to corruption problem in Tanzania. You don't give a shit about Tanzania. Do you think Tanzania needs you? Why?
 
Inaonekana hufahamu rushwa ni nini na jinsi inavyoweza kuathiri uchumi na maisha ya jamii husika. Au umeamua kujifanya hujui ili kuonesha ni jinsi gani ulivyo wa ajabu.

Then, unaonesha wewe huathiriki na wizi unaofanywa na RA et al kwa sababu tu hauko Tanzania au si Mtanzania. And you imply that you are not part of the solution to corruption problem in Tanzania. You don't give a shit about Tanzania. Do you think Tanzania needs you? Why?


Zungu Pule,

Kwa suala la rushwa huwezi kumpata RA, by the way he is smart, angekuwa mtu wa kuingia kichwa kichwa mungeshampeleka mahakamani,,, hamumpeleki kwa sababu gani?

Still admire the guy,,, anafanya biashara zenye akili! mengine ni uzembe wenu na serikali yenu... maana munapenda siasa sana.
 
I doubt about your conceptual understanding on governance, and more specifically about the concept of state capture. Rostam Aziz is an agent mercenary of state capture. It is not business but your state has already been captured!
There is nothing to cherish or good practice to learn from Rostam Aziz!
Penda nchi yako ndugu. Chukia mafisadi ndugu.


I have nothing to do with RA, in fact I love my country probably more than you do!

Tatizo ni kwamba tuna-target wrong direction kwenye vita ya Ufisadi. Twatakiwa kula na Government Civil Servants na Agency zake zinazomfanya afaidike sio yeye!!!

Other than that ni sawa na mbwa lisilokuwa na menu linabweka tu bure....

Nawatakia kila la kheri enyi wazalendo zaidi ya wengine.
 
Zungu Pule,

Kwa suala la rushwa huwezi kumpata RA, by the way he is smart, angekuwa mtu wa kuingia kichwa kichwa mungeshampeleka mahakamani,,, hamumpeleki kwa sababu gani?

Still admire the guy,,, anafanya biashara zenye akili! mengine ni uzembe wenu na serikali yenu... maana munapenda siasa sana.

Huku ni kurogwa au ni ushambenga? Hapatikani au amewaweka mfukoni wa kumpata? Sasa kama wenye mali wananchi walioibiwa ndio wanaakili kama zako unatarajia akamatweje?

Lakini kumbuka kuwa una ndugu, jamaa na marafiki unaowasaliti na kuwazulia Kasheshe maisha yao yote

Asha
 
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.

Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.

Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.

Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.

Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.

Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo


mtu anapomsifia mwizi kwa kuiba vizuri na kuwa katika wizi huo ametumia "akili sana" kiasi kwamba hadi hivi sasa ameshindwa kukamatwa basi kuna tatizo. Kuna tatizo zaidi pale anayelaumiwa kwa kuibiwa ni mwenye nyumba ati kwanini hakutumia makomeo mawili na kuweka nondo madirisha; Na inasikitisha zaidi pale ambapo mwizi huyo anahusudiwa kwa kuweza kuiba na inaoombewa kuwa tungekuwa na wezi wengi wa namna hiyo (wasioweza kukamatwa)!

Huku ni kupindua maana nzima ya haki na kuvuna kile mtu amepanda.

Kwa kumhusudu mwizi, mwizi anakuwa na mtetezi wa wizi wake! Na yule anayemtetea mwizi......
 
Mpaka hapa sijaona shida. Ni vizuri sana kama wamejitolea kutoa misaada maana ni spirit yao kujitolea katika masuala ua kijamii, mmoja akitoa misaada ya hali na mali na mwingine akitoa katika michezo.
Hii haina maana yoyote kwamba kuna ushindani wa aina fulani. Na kama upo basi vita ya panzi furaha ya kunguru.
 
mtu anapomsifia mwizi kwa kuiba vizuri na kuwa katika wizi huo ametumia "akili sana" kiasi kwamba hadi hivi sasa ameshindwa kukamatwa basi kuna tatizo. Kuna tatizo zaidi pale anayelaumiwa kwa kuibiwa ni mwenye nyumba ati kwanini hakutumia makomeo mawili na kuweka nondo madirisha; Na inasikitisha zaidi pale ambapo mwizi huyo anahusudiwa kwa kuweza kuiba na inaoombewa kuwa tungekuwa na wezi wengi wa namna hiyo (wasioweza kukamatwa)!

Huku ni kupindua maana nzima ya haki na kuvuna kile mtu amepanda.

Kwa kumhusudu mwizi, mwizi anakuwa na mtetezi wa wizi wake! Na yule anayemtetea mwizi......

Mbavu sina mkuu!!! hahahahahaha... today is May Day and tomorrow is weekend.
 
Samahani,

Naomba kuuliza ukiwa una ka-kiosk kako, na umwemwajiri muuza ka-kiosk hako... akawa wateja wakinunua vitu akirudisha chenji arudisha zaidi kwa wateja wake... Na wateja wanachukua wanaendelea wanarudi na siku nyingine hivyo hivyo mpaka kaduka kako kanatereka...

Nani wakumfuata... muuza kiosk chako? au mteja?

I mean:
Muuza duka... ni mtumishi wa umma
Mteja ndio:... huyo RA
 
Back
Top Bottom