Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
kilichowekwa hapo juu ni audio kwa audio?Yeyote yule anaejua alichokisema Lukuvi kuhusu kuzoeleka kwa milio ya ndege na akiweke hapa word for word.
kilichowekwa hapo juu ni audio kwa audio?Yeyote yule anaejua alichokisema Lukuvi kuhusu kuzoeleka kwa milio ya ndege na akiweke hapa word for word.
Dilunga,Huwezi ukaripoti habari kuhusu kauli tata ya kiongozi bila kusema alitamka nini kwa maneno yake mwenyewe.
Yeyote yule anaejua alichokisema Lukuvi kuhusu kuzoeleka kwa milio ya ndege na akiweke hapa word for word.
Dilunga,
Soma tena ripoti. Najua una beef na waandishi wetu lakini kauli kwamba wakazi lazima wazoee kuishi na miripuko ya mabomu ni kauli isiyokubalika kutoka kwa kiongozi yeyote. Inanikumbusha majibu ya yule mke wa mfalme aliyewaambia Wafaransa wale keki wakati aliposikia malalamiko kuwa hakuna mkate.
Huyu jamaa anahistoria ya kutokuwa na kichwa kizuri kilichonolewa kitaalam.Ukada ndio sifa yake kuu.Tofauti na Kandoro aliyekuwa Economist and Planner.Wanasema wenyewe "maumivu ya kichwa huanza pooole pole"
Lukuvi ni reflection ya aliyemteua, kumkataa na kumbakisha aliyemteua kutasaidiaje ?
Dilunga,
Soma tena ripoti. Najua una beef na waandishi wetu lakini kauli kwamba wakazi lazima wazoee kuishi na miripuko ya mabomu .
Jasusi,
Lukuvi katamka nini Lukuviiiii? Nionyeshe Lukuvi katamka nini. Ha ahahahahahaha
Wala sijatetea au kukosoa alichofanya au kutofanya Lukuvi.
Yeyote yule anaejua alichotamka Lukuvi kuhusu kuzoeleka kelele za ndege na akiweke hapa neno kwa neno.
What do u expect from standard seven leaver?
milipuko ya mara ya pili ilivyotokea hii ambayo ilikuwa inalipuliwa na wanajeshi kuna baadhi ya watu walikuwa wanazimia kwa mshtuko,ndo akawaambia " mnatakiwa kuzoea milipuko mbona wenzenu wa kipawa wamezoea miungurumo ya ndege"
Is he a standard seven leaver? Huyu si aliwahi kuwa Waziri kipindi fulani? Halafu bado tunashangaa kwanini mambo yanakwenda shaghalabaghala Bongo!
Washington International University BA (Inter. Studies &Diplomacy) 2001 - GRADUATE
Johanesburg-South International Observers Course 1994 - CERTIFICATE
Moscow Leadership Course 1985 - CERTIFICATE
Moscow Diploma in Political Science 1982 1983 DIPLOMA
Lindi Political Course 1976 - CERTIFICATE
Mbeya Secondary School A-Level Education - 1981 HIGH SCHOOL
Tabora Teacher's Training College Teaching Course - 1975 CERTIFICATE
Iringa Training in Defence and Security - 1980 CERTIFICATE
Mahiwa College Training in Politics - - CERTIFICATE
Computer Training College-Dar es Salaam Training in Computer Course - 1998 CERTIFICATE
The type of wale guys wenye degree za ku copy and paste.He is not std 7 leaver, c his profile: He is extraordinary~ remarkable~ astonishing Tanzanian. Within 4 years (1980-1983), he managed to do certificate in defence, form 5&6 and attended a 1? 2? year diploma course in Moscow. And 2001 he graduated at WIU. He is great!