Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Jasusi,
Lukuvi katamka nini Lukuviiiii? Nionyeshe Lukuvi katamka nini. Ha ahahahahahaha
Wala sijatetea au kukosoa alichofanya au kutofanya Lukuvi.
Yeyote yule anaejua alichotamka Lukuvi kuhusu kuzoeleka kelele za ndege na akiweke hapa neno kwa neno.
Nilimsikia akihohiwa na BBC nikamshangaa sana. Mwandishi wa BBC alimwuliza kuwa imeripotiwa watu kadhaa wamekuwa vziwi kwa sababu ya mabomu. Lukuvi alijibu kwa hamaki na haraka kuwa "huo ni uwongo!' Kama kiongozi, nadhani angejibu sijapta taarifa na kuahidi kufuatilia suala hilo na si kung'aka! Sasa Dilu habari za uhakika ni kweli kuwa kuna baadhi ya watu wameathiriwa na kuwa viziwi na kutoona vizuri sababu ya mabomu hayo. Ni vema asingejibu vile.