Mwita Waitara unajidhalilisha

Mwita Waitara unajidhalilisha

Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Mbona mling'oa ccctv sasa? Na kwanini hamtaki kuruhusu wachunguzi wa nje ambao wako tayari ni ruhusa tu,ina maana cdm wana nguvu kuliko dola?Na wanaolinda makazi ya viongozi dodoma ni cdm?Hii ishu ni mjukuu mnayo sana haipoi ,itawatafuna sana,kabla haijahamia kwa vizazi vyenu.
 
Mbona mling'oa ccctv sasa? Na kwanini hamtaki kuruhusu wachunguzi wa nje ambao wako tayari ni ruhusa tu,ina maana cdm wana nguvu kuliko dola?Na wanaolinda makazi ya viongozi dodoma ni cdm?Hii ishu ni mjukuu mnayo sana haipoi ,itawatafuna sana,kabla haijahamia kwa vizazi vyenu.


Serikali yetu haina huo muda, ina mengi ya kufanya!
 
Cdm walifanya makosa sana kumuamini huyo kada wa kijani ambae baada ya kutemwa kwenye kura za maoni Tarime akahamia chadema ambapo hakukaa akapewa nafasi ya kugombea ukonga na kuacha Vijana waliokijenga chama kwa kujitolea.Hili liwe funzo wasiokote oili chafu toka kijani na kuzipa nafasi chumbani.
 
Kwani unapotajiwa risasi 30 umeambiwa zote ziliingia mwilini? Hivi mnaposema maigizo hamuoni hata aibu?
Mna roho mbaya sana kama wanyama, na hili LA Waitara kutumiwa ndio limeharibu kabisa maana sijui hata mtafutaje
Akili zimewaruka sasa wanaongea kila kitu ilimradi wanachoona kitamlinda mfalme wao.
 
Na yooooote afanyayo Magufuli lkn kupingwa Risasi Tundu Lissu na kupotea kwa Ben Saanane asilani sitokuja kumsamehe.....Haiwezekani binadamu wenzio uwafanye zaidi ya kuku hata nyerere hakuwahi kuwa mnyama kiasi hiki na power yote alokuwa nayo....shame on him....
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Halafu CCTV camera zilizorekodi tukio zikiwa kwa mh waziri na naibu spika zikaondolewa na hao hao cdm, makubwa!
 
Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu

Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........
Bora Kahama kumbe uwezo wake wa Kufikiri ni Mdogo sana
''May be suffering From Brain Damage''
 
Hilo tukio Zima Ni bongo movie Ni suala la muda ukweli haujawahi kufichika milele,30+ bullets kwenye short range halafu uishie kupigwa miguu!! Tena unaambiwa eti limepangwa na serikali,WTF! Of all hit men waliopo kwenye vikosi vya nchi hii watumwe vilaza WA kiwango hicho? It doesn't make sense!! Mngeshazika huyo jamaa yenu hata kama Mungu angekuwa upande wake siku hiyo! Labda siyo SMG ninayoijua Mimi.
Kwa hiyo na polisi waliokuwa lindo Siku hiyo cdm ndiyo waliwaambia wasiwepo? Na CCTV je? Cdm ndiyo waliitoa?
 
Vyovyote iwavyo ukweli utabaki kuwa Lissu alipigwa risasi... Ni sawa na mtu aibiwe halafu halafu tuanze kubishana hao wezi ni warefu au wafupi... Vyovyote iwavyo haiwezi kubadili ukweli kuwa mtu kaibiwa.... Waitara atuambie ikiwa amepigwa kulia badala ya kushoto inabadili kitu gani kwenye uhalisia kuwaLissu alipigwa risasi? Ikiwa muhusika ni dereva au yeyote yule inabadili nini kwenye ukweli kuwa hadi leo jeshi la polisi limeshindwa kumpata huyo muhusika? Mwita ni vyema tu akafuata maadili kuwa watu huwa hawaongei wakati wa kula, yupo upande wa ulaji kelele za nini?
 
Magazini ya risasi 38 ni ipi hiyo?!..kuna maswali mengi kwenye shambulio hilo.
Je kama ilipoisha ya kwanza wakaweka ya pili? Au kama kulikuwa na bunduki mbili? Majibu yote haya polisi waliomakinika wangekuwa wameishayatoa
 
Kwa hiyo na polisi waliokuwa lindo Siku hiyo cdm ndiyo waliwaambia wasiwepo? Na CCTV je? Cdm ndiyo waliitoa?
tatizo la wana CCM wengi ni kuwadharau watanzania wakidhani ni wajinga kiasi kwamba Ushamba wa mwita waitara unaweza kuaminiwa kirahisi hivyo
 
Mwita waitara amekuwa Limbukeni na Mshamba na maneno yake anayoropoka dhidi ya Lisu yatamrejeshea Laana hawezi kupata hata ukatibu Tawala wa kijiji, amekuwa mjinga mjinga hajitambui tena kibaya zaidi anawaona wananchi ni wajinga kiasi cha kutaka kuwaaminisha upumbuvu wake, ni Aibu ktk karne hii ya kisayansi kuwa na Aina ya mwanasiasa mzushi mwenye Upeo Zero.0.0 kwani hataweza kuleta maendeleo zaidi ya kuongeza Majungu, fitna na mambo ya ajabu yasiyo na Tija kwa Taifa.
 
Hilo tukio Zima Ni bongo movie Ni suala la muda ukweli haujawahi kufichika milele,30+ bullets kwenye short range halafu uishie kupigwa miguu!! Tena unaambiwa eti limepangwa na serikali,WTF! Of all hit men waliopo kwenye vikosi vya nchi hii watumwe vilaza WA kiwango hicho? It doesn't make sense!! Mngeshazika huyo jamaa yenu hata kama Mungu angekuwa upande wake siku hiyo! Labda siyo SMG ninayoijua Mimi.
1533552619062.jpeg

Yaani wauaji wenyewe wanashindwa kuamini walimkosaje, let God be called God.
 
Back
Top Bottom