Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,026
Ile ya akwilina pale kituoni palikuwa na mlima hivyo ilipanda kidogo bhana kumbuka kulikuwepo pia na upepo ikapeperushiwa kwenhe lile gari..![]()
![]()
Ile ya akwilina pale kituoni palikuwa na mlima hivyo ilipanda kidogo bhana kumbuka kulikuwepo pia na upepo ikapeperushiwa kwenhe lile gari..![]()
![]()
Baba yake tu hajawahi kumiliki hata baiskeli!!Kama una gari huwezi shangaa... Tafuna gari Laza kiti cha abiria afu kilalie kwa tumbo utaona mguu wa kulia utakuwa upande wa mlango
Simple logic
Hata wa kukusapoti hakuna kahaba mkuu!!Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!

Nilidhani ulivyojifungua mimba ya kichina akili zitakuwa zimerejea kumbe ndo zimepotea kabisa?Sasa kwani akisema hayo anaongopa?
Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..
Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.
Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe
Nonsense!Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Nakwambia, siku ya kufa MTESI WA LISU , ule mlango wa hukumu utakuwa umefunguliwa. Akifika tu mlangoni, hataruhusuiwa kuingia mpaka Lisu awepo hukumu ya haki Mungu aitoe, ndio kila mmoja aingie kunakostahili specifically kwa issue hii!Hili shambulizi walilipanga wenyewe lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Hawana msimamo kam nyumbu vile.badala ya kumfukuza mwenyekiti wao wamo kudanganyana.Unamaanisha nini????????
Nakwambia, siku ya kufa MTESI WA LISU , ule mlango wa hukumu utakuwa umefunguliwa. Akifika tu mlangoni, hataruhusuiwa kuingia mpaka Lisu awepo hukumu ya haki Mungu aitoe, ndio kila mmoja aingie kunakostahili specifically kwa issue hii!
Hukumu ya watumishi wasio waaminifu
Wakati huohuo, mapepo zaidi yalianza kutoka ukutani. Lile pepo linaloitwa Kisasi lilisema kwa sauti, “Mfalme Belzebub, tumempata mmojawapo aliye mkubwa ambaye aliendesha vita dhidi ya sisi, ufalme wa giza …” Biblia inasema: “Maana ingalikuwa heri kwao kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua, kisha kuiacha ile amri takatifu waliyopewa.” (2 Petro 2:21). Kanisa linalomjua Bwana ni lazima liendelee kuwa thabiti na kutambua kuwa Yesu ndiye tumaini PEKEE kwa ajili ya wokovu wa roho zao.
View attachment 827823
Nikiwa ningali pale, lile pepo Kisasi lilikuja karibu yangu na kuniambia, “Rodolfo, nataka unitoe kama ambavyo ulifanya kule duniani.” Lilipokuwa likisema haya tena na tena, lilikuwa linaendelea kunitesa. Na nikaona mapepo mengi yamejipanga tayari kwa ajili ya kunitesa!
Mateso ya kuzimu kwa ajili ya wachungaji, wahubiri, na wainjilisti na watawala wanaoacha nguvu na upako wa Mungu ni makali zaidi kuliko yale ya roho zingine kule kuzimu! Uwe thabiti katika mwendo wako na Mungu! Hii ni saa ya Kanisa kuwa imara. Wakati ni sasa. Muda wa kuchezacheza kanisani umeshapita. Ni lazima tuwe na ujasiri na kuzishinda nguvu za kuzimu kwa jina la Yesu – Yeye peke yake ndiye nuru.
Mara kulitokea pepo lililoruka na kutupa mkuki kwangu ambao ulipita kwenye moyo wangu. Nilihisi maumivu yasiyoweza kuelezeka. Pia nilihisi kama vile kulikuwa kunanyesha salfa kule kuzimu. Nilihisi nyama ya mwili wangu inatoka kwenye mifupa na minyoo ikaanza kupekecha mifupa yangu.
SANA, MNAOJITIA WACHUNGAJI, WATAWALA , WAHUBIRI ETCAngalia huyu, unafikiri hii Dunia imeanza jana na Tundu Lisu?
Sasa mbona polisi ambao ni walinzi wa wananchi wote wamekimbilia kufunga jalada la uchunguzi? pia mmekataa uchunguzi huru?S
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Kipara huwa anawainamisha?Chadema mnamuogopa sana waitara ; nyuzi haziishi kumhusu, nini tatizo?
Period inakusumbuaSasa kwani akisema hayo anaongopa?
Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..
Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.
Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe
Mbona polisi wanapata kigugumizi kulisemea hilo ambalo lina mwaka tangu litokee wakati yule mbwa ndani ya wiki walitolea taarifa.Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Mungu ni Mkubwa Lissu hakufa ukweli unatoka mchana kweupeSasa kwani akisema hayo anaongopa?
Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..
Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.
Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe
Kwamba wewe unataarifa sana kuliko waitara aliyekuwa chadema?Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu
Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........