Mwita Waitara unajidhalilisha

Mwita Waitara unajidhalilisha

Huyo ni wa kumpuuza. Yaani huwezi amini, mimi ni mmoja kati ya waliomuamini huyu jamaa na kumpa kura. Ila kwasasa imefikia kipindi, nikiona habari zake, napata kichefuchefu.

Hana sifa za kuwa mwanaume. Sijui kwanini hakuzaliwa mwanamke
Naangekua wakike ndio wale wanaotuzali majinga kama majitu ya lumumba.
 
Huyo ni wa kumpuuza. Yaani huwezi amini, mimi ni mmoja kati ya waliomuamini huyu jamaa na kumpa kura. Ila kwasasa imefikia kipindi, nikiona habari zake, napata kichefuchefu.

Hana sifa za kuwa mwanaume. Sijui kwanini hakuzaliwa mwanamke
Ipo siku Mungu ataweka wazi kila jambo liwe jema ama baya.
 
Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu

Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........
Hivi kweli kwa akili ya kawaida derive anae kaa upande wa kulia kwako kama anataka kukuua kwa bastola,aache kukupiga risasi ya kichwa aanze kukushambulia miguu na tumbo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kweli kwa akili ya kawaida derive anae kaa upande wa kulia kwako kama anataka kukuua kwa bastola,aache kukupiga risasi ya kichwa aanze kukushambulia miguu na tumbo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo la mwita waitara ni njaa kupenya hadi kwenye Ubongo wake na kuishiwa maarifa kabakia kutengeneza Sinema za kuwahadaa wananchi pasipo kutafakari kwanza.
 
Imhotep, MISULI et Al, najua mmeamua Kujitoa UFAHAMU tu! Hivi Nani amesema silaha iliyotumika Ni SMG? Vipi Kama Ni Machine Gun yenyewe? Kwa taarifa yenu tu, RISASI zilizotolewa Hospitali zime reveal Ni Aina gani ya silaha iliyotumika, na kwamba silaha yenyewe huwezi ipata URAIANI! Ni suala la muda TU, mkidhani mpo hatua Moja 1 mbele, wenzenu wapo hatua 100 mbele yenu!
 
Waitara amejiidhalilisha sana ni Aibu kubwa kwa jamii
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Ingekuwa hivyo magu angefurahi sana angepata evidence ya kuwangefunga
 
Leo tarehe 05/08/2018 nimeshangazwa sana na kusikitishwa na kauli iliyotolewa na aliyekuwa mbunge wa ukonga Bw mwita waitara wakati akihojiwa na Leonard Mapuli mtangazaji wa Startv Tanzania kuwa anashangaa sana kwa mh Lisu kuumia mguu wa kulia ili hali risasi zilitoka upande wa kushoto
Najua Bw waitara ni msomi na anajua ni nini anaongea na ni kwa faida ya nani. Napia anajua kwa undani kabisa ni kwa nini mh Tundu Antiphas Lissu aliumizwa mguu wa kulia ila kwa makusudi anataka kuupotosha umma na kuwafanya watanzania ni wajinga na wavivu wa kufikiri
Mbaya zaidi Mwita Waitara pia kamtuhumu driva wa lisu kuwa ndio muhusika mkuu kwa shambulio LA Lisu

Kwa faida ya wengine ni kwamba baada ya Lisu kuona watu #wasiojulikana wameshuika kwenye gari huku wameshika silaha za moto Lisu alikilaza kiti na KULALA KWA TUMBO na hiyo ndio ikawa salama yake. sasa tumuulize huyu mnafiki mwta waitara aliyejiondoa ufahamu mtu akilala kwa tumbo kwenye kiti cha mbele cha abiria mguu wa kulia utakuwa upande gani?
Itawezekana vipi Lisu aliyeumizwa amtetee adui yake aliyetaka kumuuwa?
Watanzania tuna uchungu mkubwa sana na kusikitishwa na shambulio la lisu anatokea mtu anatoa kauli za kejeli na kebehi kwenye maumivu na mateso ya mtu.. Mtu huyo lazima tutamlaani kwa nguvu zetu zote na kwa uwezo wetu wote
Kuhama chama ni utashi na uamuzi wa mtu binafsi kwa hilo hatuwezi mlaumu lakini pale anapotumia tamaa zake binafsi kupotosha umma tutasema na kumlaani kwa sauti ya juu
Njaa na tamaa yako Bw Waitara isikufanye ufikirie kwa tumbo badala ya kichwa
Mungu ibariki Tanzania........
Yeye ndio mwenye chuki cause baada ya kuhama anaanza kuropoka uzushi
Duh! Jamaa yaani anaogea kiasi kwamba hadi ccm wenyewe wanashidwa namna ya kumtetea
Sura ya Waitara ni kielelezo tosha kuwa CHADEMA walikuwa wanaishi na shetani
Sijui kalipwa kiasi mpaka anauvaa ushetani kwa kiwango hicho, ila kwa huu ushetani tunao uona ni za hili tuko katika utawala wa kishetani.
Write your reply...Nimeamini njaa ni hatari sana, huyu huyu Wait ara ndio anatamka haya. Waitara huyu huyu Yego Mkurya! Nisingeshangaa ange kuwa mzaramo.
Waitara, kweli umewadhalilisha Wakurya ninao wajue baada ya kukaa huku ukuryani kwa miaka kumi. Pole sana Mheshimiwa sana Waitara. Leo nimemsikia mkubwa mmoja wa huko ulikoenda akisema 2020 utoswe kwani huaminiki tena.
Nimewahi andika hapa kwamba ubora wa wanasiasa wetu uko chini sana. Siyo Waitara tu hata hao viongozi wa CHADEMA ni hayo hayo. Mkasa wa Lissu haukustahili kuwa ni mtaji wa kisiasa siku hadi siku. Kila leo Tundu Lissu. Usiku, mchana, Bungeni magazetini kote! Hovyo kabisa. Kwani Lissu ni sera ya maendeleo?

Kwa upande mwingine, kama anayoyasema Waitara kuhusu Mbowe na matumizi ya pesa za chama ndivyo yalivyo, basi ni kupotezeana muda na mambo ya siasa. Mbowe anatakiwa awatie imani wanachama wake kwa kueleza nini hasa anakifanya ndani ya chama. Hii itauwa CHADEMA. Huenda hajali maana atakuwa amepata pesa za kutosha lakini sisi kama wa-TZ atakuwa ametukosea kwa kiasi kikubwa sana, kututia matumaini ya kisiasa wakati lengo lake ni kujineemesha. Hii itadhihilisha ubovu wa wanasiasa na kuwaaminisha wananchi kwamba upinzani ni hivyo.

Ombi langu la mwisho; Tume ya uchaguzi puguza idadi ya majimbo ya uchaguzi. Hatuhitaji wansiasa wengi kiasi hicho.
 
Haya
tapatalk_1533891882188.jpeg
 
Niliwahi kuandika humu, Ardhi ya Tanzania imeshaandika kumbukumbu ya jaribio la kumuua Mh.Tundu Lissu, haitatokea umma wa watanzania kusahau au kuamini vinginevyo zaidi ya CCM kupitia JOHN POMBE MAGUFULI kuhusika moja kwa moja kutaka kumuua Mwanasheria wetu kipenzi cha watu!
Damu iliyomwagika ya Mh.Lissu iko kwenye Paji la uso wa Magufuli na wale wote waliohusika kwa niaba ya Magufuli. Propaganda za kujaribu kujinusuru hazitafua dafu hata kidogo,hakuna aliyeweza kushindana na Mungu!
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!

Ukispoma comment nyengine kama za huyu hapa juu unapata kichefuchefu as if mtu hakwenda shule na hana uwezo wa kufikiri. Upupu huu huwa si usomi unachefua sana. mungu akupe IQ ili uone the big picture.
 
Muoh
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Muogope Mungu/ Allah
 
Back
Top Bottom