Mwita Waitara amshukia Askofu Gwajima, amtaka aache siasa kwenye mambo ya afya za wananchi au ajivue ubunge kama hakubaliani na serikali

Kazi ya mbunge ni tofauti na kazi ya waziri! Waziri anabanwa na kanuni ya uwajibikaji wa pamoja!! Waziri ni sehemu ya serikali!! Lakini mbunge kazi yake ni kuihoji serikali na kuisimamia!! Si kuiunga mkono kwa kila kitu!! Huyu watara ni tara kweli!!! Nashangaa kuwa hajui kanuni hii ya msingi atajuaje mengine?
Namni Tunisia huyu mlevi, subiri jumapili utatafuta pa kujificha. Waitara unaweza kuwa unatetea serikali kwa kuwa wewe ni sehemu ya hiyo,lakini Askofu yupo na wapiga kura wake,na kondoo wake
 
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Huyu ameshiba, wanasiasa wanashindwa kuelewa kuwa mchungaji Gwajima ni mwanasiasa na pia ni daktari wa kiroho.
Wao wanaangalia madhara ya mwili tu wakati Gwajima anaenda mbali zaidi anaangalia madhara ya mwilini na rohoni.
Wapo wagonjwa wa imani zote wanashindikana kupona hospitalini wanapelekwa kanisani na wanapona, hapo mbona hawajawahi
kusema chochote?
Kumbe sasa ndo nimeelewa ni kwa nini rais Magufuli alisema ''kawe nileteeni gwajima''.
Alijua kuna siku wengine aliowapa mpaka uwaziri watamsaliti atabaki na gwajima.
 
Chanjo ni issue ya kitaifa kwa hiari siyo yeye atumie mimbara kuchochea.
Mbona wanaoitetea chanjo hamsemi wanachochea watu wacchanjwe?
Au ninyi mnapingana na rais aliyesema chanjo ni hiari?
Raia wote tuna haki sawa,kama kuna wanaoelimisha kuhusu umuhimu wa chanjo tena wapo kibao
mbona mnaweweseka na gwajima mmoja ambaye naye anatoa elimu kuhusu madhara ya chanjo?
 
Huyu ameshiba, wanasiasa wanashindwa kuelewa kuwa mchungaji Gwajima ni mwanasiasa na pia ni daktari wa kiroho.
Wao wanaangalia madhara ya mwili tu wakati Gwajima anaenda mbali zaidi anaangalia madhara ya mwilini na rohoni.
Wapo wagonjwa wa imani zote wanashindikana kupona hospitalini wanapelekwa kanisani na wanapona, hapo mbona hawajawahi
kusema chochote?
Kumbe sasa ndo nimeelewa ni kwa nini rais Magufuli alisema ''kawe nileteeni gwajima''.
Alijua kuna siku wengine aliowapa mpaka uwaziri watamsaliti atabaki na gwajima.
Wote ni matapeli tupu
 
Hakuna hoja hapa. Waitara anapiga mkwara wa viroba na bangi mbele ya mlokole. God forgive him.
 

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Sijui inakuaje mpaka kokoto inakuwa kiongozi!! Nilidhani gold kumbe kibongo hata dongo linakuwa kiongozi
 
Back
Top Bottom