Mwita Waitara amshukia Askofu Gwajima, amtaka aache siasa kwenye mambo ya afya za wananchi au ajivue ubunge kama hakubaliani na serikali

Siri ya Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mwita Waitara kumshambulia Askofu Gwajima juu ya msimamo wake juu ya Chanjo ya UVIKO 19 sasa zimepatikana.

Habari zilizotufikia ni kuwa kuna tetesi kuwa Mh. Rais Samia Suluhu ana mpango wiki ijayo either kujaza nafasi ya Waziri wa Ulinzi iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Mh. Kwandikwa au pia kupitia sababu hiyo Mh. Rais anaweza fanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.

Hivyo baada ya Mwita Waitara kupata fununu hizo akaona atatoka vipi basi akaona style ya kujipendekeza kwa Mama Samia ni kumponda Askofu Gwajima na Humphrey Polepole.

Sasa majibu kama mbinu yake itamsaidia au la tutayapata wiki ijayo.
 
Mwanasiasa malayaaaaamalayaaaaa unapeleka chumbani ambako hata Rais hajawahi kanyaga.
Hata unaibu cjui alipewaje
 
Kwanini ulinzi asiende kitwanga yule mbia wa hayati dikteta kwenye maj(y)anga construction
 
Hamtonielewa lakini nchi inamuhitaji zsana mtu kama Nape Nnauye kwenye eneo km hilo
 
Siri ya Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mwita Waitara kumshambulia Askofu Gwajima juu ya msimamo wake juu ya Chanjo ya UVIKO 19 sasa zimepatikana.

Habari zilizotufikia ni kuwa kuna tetesi kuwa Mh. Rais Samia Suluhu ana mpango wiki ijayo either kujaza nafasi ya Waziri wa Ulinzi iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Mh. Kwandikwa au pia kupitia sababu hiyo Mh. Rais anaweza fanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.

Hivyo baada ya Mwita Waitara kupata fununu hizo akaona atatoka vipi basi akaona style ya kujipendekeza kwa Mama Samia ni kumponda Askofu Gwajima na Humphrey Polepole.

Sasa majibu kama mbinu yake itamsaidia au la tutayapata wiki ijayo.
Ateuliwe tu hakuna namna maana CCM kumejaa uozo tupu
 
Mwanaume wa Kikurya akiongea huwa anamaanisha, hatanii na anayekuambia unatakiwa uwe nae makini sana asije kukufanya Bucha muda wowote tu.
Katika nchi iliyostaarabika mwenye kutoa hoja fulani ya serikali kwa wananchi hususan yenye kuleta mkanyiko fulani ni msemaji mkuu wa serikali.Ikiwa kila mmoja atamshambulia Gwajima inaonekana tuna serikali isiyo na msimamo.Suala la Gwajima anaweza kulielezea ama msemaji mkuu wa serikali au katibu mkuu wa ccm.
 
Kazi ya mbunge ni tofauti na kazi ya waziri! Waziri anabanwa na kanuni ya uwajibikaji wa pamoja!! Waziri ni sehemu ya serikali!! Lakini mbunge kazi yake ni kuihoji serikali na kuisimamia!! Si kuiunga mkono kwa kila kitu!! Huyu watara ni tara kweli!!! Nashangaa kuwa hajui kanuni hii ya msingi atajuaje mengine?
 
Back
Top Bottom