Mwita Waitara amshukia Askofu Gwajima, amtaka aache siasa kwenye mambo ya afya za wananchi au ajivue ubunge kama hakubaliani na serikali

View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Mwanaume wa Kikurya akiongea huwa anamaanisha, hatanii na anayekuambia unatakiwa uwe nae makini sana asije kukufanya Bucha muda wowote tu.
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Fisi zimeanza kuparurana
 
Mwita nae anajielewa mwenyewe. Kwani Gwajiboy alipewa Ubunge huo na serikali au Wananchi? Mtu gani anashindwa kutofautisha Binge na serikali? Au anataka tukubaliane na zile drama za kura za kwenye Mabegi?
 
Wanazika habari za Gazeti la Uhuru
Mheshimiwa rais ameshatekeleza wajibu wake wa kuliokoa taifa kwa kuleta chanjo Kama nchi nyingi duniani inavyofanya, kutoa mzizi wa fitina kwa kujua kwamba Kuna watu hawaikubari na wengine wanahitaji kasema itakuwa ya hiyari. Inatosha jamani tuache kubwatukabwatuka, kila mtu atapima mwenyewe
 
Vuta nikuvute ndani ya ccm bado inaendelea ambapo naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi, mwita waitara amemtaka askofu gwajima asifanye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za watanzania.

Naibu waziri waitara amesema, kama askofu gwajima hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
 
Vuta nikuvute ndani ya ccm bado inaendelea ambapo naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi, mwita waitara amemtaka askofu gwajima asifanye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za watanzania.

Naibu waziri waitara amesema, kama askofu gwajima hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
hiv alipiwa kura au aliibia kura
 
Hakuna vuta nikuvute wala nini hapo wanafanya spinning kutusahaulisha mambo ya msingi!

Katiba itabaki kuwa kipaumbele ! Kwa katiba hii nguvu anajazwa mtu mmoja hata akilewa madaraka inakuwa ngumu kumrudisha is a big NO!
 
Mwita akishalewa basi anaropoka tu, CCM hawana jukwaa la kuzungumzia mambo yao?
Akiwa hajalewa macho anaonekana amekewa,sasa akilewa macho huwa anakuwaje? 2025 akaunge juhudi ACT wazalendo CCM/CHADEMA hana chake
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Linahusianaje na ujenzi? Badala ya kutupa mrejesho wa miamala ya mesa imeshajenga km ngapi za lami, mumetuona hamnazo sio
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Si mumpige risasi tu mbona kwa Tundu Lissu mliweza?
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Umuhimu wa KATIBA MPYA unaonekana.
Hapa kile kipengele cha wapiga kura wake kutokuwa na imani naye kingetumika....
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
JamiiForums2011088224.jpg
 
View attachment 1888315
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amemtaka Askofu Josephat Gwajima asichanganye siasa kwenye mambo ya msingi na yanayohusu afya za Watanzania. Amesema kama hakubaliani na viongozi wake, basi ajivue ubunge kwani hakuna sababu ya kutumikia mabwana wawili.
Waitara acha kujipendekeza kwajima ni mbunge si serikali anayohaki ya kuwa na msimamo wake kuhusu chanjo ya korona, wewe kama sehemu ya serikali ndiye unaetakiwa uheshimu maamuzi ya baraza la mawaziri mwache kwajima aelezee msimamo wake kama mbunge na kama mchungaji.
 
Back
Top Bottom