Lete original nyie mabingwa wa kukataa hata ugaidi mnaukataa
hili la ugaidi, mahakama zilizo chini ya uongozi wa ccm ndizo zilizoukataa.
Lete original nyie mabingwa wa kukataa hata ugaidi mnaukataa
Mods, kama kweli tuna hakikishiwa kuwa JF sio mahali pa mtu kuleta uongo wake na kuendelea kudunda tu humu jukwaani, ningependa huyu mtu anaeitwa Ben Saanane awajibishwa kwa kuleta taarifa ya uongo humu jamvini.
cc: Paw, Buchanan, Moderator
Mimi kinacho ni shangaza zaidi hawa wazee ndio wamemsaidia nape kwa ushauri lakini kumbe yeye anataka wafe.Kamanda ben saa8 ni nouma.mkuu hiyo inaitwa twanga kote kote! Mwaka huu magamba yatakoma.
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Bavicha ni janga la Taifa. Kwao uwongo ndiyo nguzo katika harakati zao za kuudanganya umma.
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Ushahidi kamili ni upi ikiwa hawezi kututhibitishia kuwa video haijawa edited?Wamekurupuka kama alivyokurupuka Ben Saanane, haya walete na wao video, Nape kaleta ushahidi kamili kuwa waliosema ni waongo, si maneno yake hayo.
Umewashuka shuu.
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Utaelewaje nawe umeruhusu akili iharibiwe kwa kutunza tindikali mchagoni.? Bavicha majanga
Nape Nnauye acha kufanya siasa za ujanja ujanja, Toka utuhumiwe kutoa hiyo Kauli ni karibia wiki mbili na zaidi zimepita hii clip yako ulikuwa umeificha wapi, au ilikuwa stuido?
Mods, kama kweli tuna hakikishiwa kuwa JF sio mahali pa mtu kuleta uongo wake na kuendelea kudunda tu humu jukwaani, ningependa huyu mtu anaeitwa Ben Saanane awajibishwa kwa kuleta taarifa ya uongo humu jamvini.
cc: Paw, Buchanan, Moderator
Wamekurupuka kama alivyokurupuka Ben Saanane, haya walete na wao video, Nape kaleta ushahidi kamili kuwa waliosema ni waongo, si maneno yake hayo.
Umewashuka shuu.
Hivi kuna Mgonjwa zaidi ya yule aliyeanguka Jukwaani?
Babu aliwaambia bila utafiti Huna haki ya kusema lakini wasomi hawa hawakumbuki hayo