MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Huyo ni tishio kwa BAVICHA kwa sababu wote wanasimama katika nguzo inayofanana ambayo niya uongo na uzandiki.Makamanda wa Chadema wanaoinyima usingizi ccm wanazidi kuongezeka. Ben Saanane naye kumbe ni tishio mtaa wa lumumba. Sasa makamanda tuongeze kasi ya mashambulizi kwakuwa ccm inakaribia kuachana mwili na roho.
Dkt. Slaa na Kamanda Mbowe endeleeni na kazi hiyo hiyo nzuri ya kuwapika kiukomavu vijana wengi zaidi ili kazi yetu ipate kuwa ya uhakika na nyepesi zaidi.
Kwako uongo ni hoja mbadala unayodhani inanyima wanaCCM usingizi.
Kinachofanyika hapa ni kujibu UWONGO wa hoja zilizo za KWELI kama ilivyofanyika mpaka mleta uongo ameamua kufunga thread yake haraka na kukimbia kivuli chake kilichojaa uongo na uzandiki