Binti mdogo kuwa mwongo haifai!
Katika mambo mtakayomsingizia sana Mzee huyu ni hili. Kipindi chote cha kampeni ITV imekuwa fair sana. Nashangaa wanaomshambulia Mengi na kutomuona Diallo. Huku ni kulewa siasa hadi kuwa vipofu. Kati ya hao wawili sijui yupi anastahili ku nyoshewa kidole?
Tuliza akili na uelewe kinachojadiliwa sio kukurupuka tuWe kweli jingalao maficem,hivi kwanini huwa mnajitoa ufahamu nyie watoto wa lumumba,sasa ulitaka aonyeshe habari za CCM kama hao TBCCM na huyo ndina wa mwanza ,,,,,,,muwe mnatumia akili kufikiri muda mwingine nyie majambazi.
Hata kipofu anaweza kukutajia upande wa itv katika kampeni,uchaguzi,utangazwaji wa natokeo na yaliyojiri.
halafu mwanamke kuwa muongo kama wewe haipendezi...
Tuliza akili na uelewe kinachojadiliwa sio kukurupuka tu
pole sana rafiki yangu....ila mimi nina tabia ya kusema ukweli tu
ITV haijawahi kuwa fair kwa CCM na serikali yake. ITV ilikuwa biased against CCM and in favour of UKAWA. Hii inadhihirishwa na namna ilivyokuwa iki-select news zake. Nilisema humu JF kuwa baada ya uchaguzi baadhi ya media owners watapata taabu...tusubiri tuone.
Wakati mwingine nashindwa kuwaelewa CCM, inapotokea mtu anaripoti matukio kadri yanavotokea munamwita mnafiki nadhani upande wenu mtu akiwa mkweli anakuwa amefudhu kuitwa mnafiki. Ni hii ndio sababu iliyopelekea mwandishi kutoka mwananchi kufukuzwa kwenye msafara wa mgombea wenu.
Endelea kuishi kwa imani potofu![/QUOTE
Nimeamini jina la mtu linaendana na jinsi alivyo.
Mengi hakuwa fair alikuwa ni purely Team lowassa ...mbaya zaidi hadi leo anaonesha kutoridhishwa na matokeo na anatumia media kuonesha Tanzania kuna vurugu.
Nimeangalia EATV jana kati ya habari zaje muhimu kitaifa eti kuapishwa rais haikuwepo!!
Mzee mnafiki sana na kama alizoea kukwepa kodi mwisho wa hilo ni leo.