Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Semeni lingine! Hakuna kama ITV....au mnataka iwe kama tbc....
 

Attachments

  • 1446717552022.jpg
    1446717552022.jpg
    69.1 KB · Views: 539
Mtoa mada hajitambui kibisa anadhani mengi ni MTU wa kujikomba kama yeye hapo no
 
Tusimuonee mengi hata kama alikuwa anamtaka mtu wake lkn hakuonyesha wazi,ndio maana hata ccm wametumia vyombo vyake sana,tofauti na vyombo vingine ambavyo havikutaka kbs kurusha habari za upinzani,nachelea kusema mtoa mada ni mchonganishi
 
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!

Jingalao acha kujipendekeza kwa Magufuli kwa kumchafua Mengi.
 
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!
Na Muhongo ndiyo anakuwa waziri mkuu, hahaha hapatoshi. Akina mengi walikuwa wanataka kutuharibia nchi. Na ninashauri Magufuli na CCM kuwa nao makini sana. Nchi nyingi za bara la amerika ya kusini mpaka leo wanataabika kwa sababu ya watu wezi na wala rushwa kama akina lowasa kuingia madarakani
 
Mengi ni mwanaume wakweli alibalance habari.magufuli aliambatana na emanuel buholela nae lowasa alikuwa na spensa lameki.sasa mnaomsema mengi mlitaka afanye unafki kama star tv.nyie hamjui kama nibora mtu anaeonyesha habari za ukweli kuliko anayepotosha.mengi tunakukupali
 
Machaga yote nimetokea kuyachukia tu na mimeno yao iliyooza.
 
alikuwepo wakati anakabidhiwa cheti, leo tu ndo sijamwona
 
Kwanza uelewe kuwa UKAWA wameshindwa na hawajaibiwa kura...!!

Star tv ni Tv ya mwenyekiti wa ccm na ilikuwa kwenye kampeni bila kificho.

Mengi alijiweka kwenye neutral side wakati akitangaza kimahaba kwa advantage ya lowassa.

Mengi badala ya kuonesha watu wanavyosheherekea ushindi anatuonesha watu wanafarakana.

Wachambuzi kwenye kipindi ni wachaga watupu...halafu Mungu alivyo mkubwa aliwaabisha kwa kuonesha clip ya mchambuzi na Mwandishi wakipongezana kwa kazi nzuri...

Wanafiki aina ya Mengi watakiona kuanzia leo

Wachaga wameingiaje hapo? Wewe kabila gani au huna kwenu?
 
wewe ni mtu wa low profile...Elimu ndogo ya Diallo ndo inamfanya awe ccm...hivi magafuli ni raisi wa wasukuma au? watu mnakuwa biased bila aibu...EU media monitors wana declare kuwa ITV na gazeti la mwananchi walizingatia weledi katika kipindi cha kampeni. Il hali star TV na TBC wakielemea upande mmoja wa CCM...sasa mnadhani kila mtazamaji wa start tv ni mwana ccm? mfano mimi kipindi chao cha BBC dira ya Dunia ni chaguo langu,...sasa nyie mabwege wa CCM (sio wote) kosa la Mengi ni uchaga wake au neutrality yake?

Nilishangaa sana eti mengi na ITV yazomewa...kumbe hamuwapendi wachaga...hawa jamaa walishavuka ujinga...ndo maana for the sake of equity walitamani wengi wapate elimu...but wengine mnapenda kuchunga ng'ombe tu na kucheza bao...wajinga ndo waliwao!
 
ukawa wamepigwa fair play,acheni kulia lia , kuna wanachadema wengi wamempigia kura magufuli ila hawasemi,

Hii ni kweli kabisa! na wengi walikuwa wanasema Magufuli tunamkubali lakini sio Chama!!!
 
Mengi alimfitini Prof.Muhongo sasa amerudi na u PM unamnukia huko alipo anajilowasa tu
 
Mengi hakuwa fair alikuwa ni purely Team lowassa ...mbaya zaidi hadi leo anaonesha kutoridhishwa na matokeo na anatumia media kuonesha Tanzania kuna vurugu.

Nimeangalia EATV jana kati ya habari zaje muhimu kitaifa eti kuapishwa rais haikuwepo!!

Mzee mnafiki sana na kama alizoea kukwepa kodi mwisho wa hilo ni leo.

Emmanuel Buhohela (mwandishi wa ITV) amezunguka nchi nzima na Magufuli aki-report mikutano yote na wakati mwingine akimpamba Magufuli kuliko uhalisia wa mikutano yake na kupitia ITV, mbona sikuwahi kusikia Magufuli analalamika na pengine hata kuomba ITV isirushe mikutano yake? Binafsi sikuona mapungufu yoyote ya Mzee Mengi na vyombo vyake vya habari.
 
Nakuunga mkono jingalao! Mengi ni mnafiki sana,hakuonyesha kipindi cha Huyu ndie Magufuli wakati wa kampeni amekuja kuonyesha jana wakati kipindi kina miezi kadhaa tangu kirekodiwe!ni mnafiki asiyepaswa kuchekelewa hata kidogo.Alimfanyia fitina sana Kikwete kwa mabarua na Kumchafua mitandaoni kuwa anataka kuuawa na Rais tena akatangaza kupitia tv yake ya ITV!
Ni mnafiki asiyepaswa kuwekwa karibu kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!
Mleta mada unanipa wasiwasi na shule yako,lazima uelewe kuwa MENGI is a businessman,HABARI ZA CCM zilikuwa haziuziki katika kipindi cha kampeni na uchaguzi,ndio maana hata mgombea wa CCM Magufuli ilibidi ajipambanue na ccm ili aweze kueleweka,fanya research uone media zilizojikita kwenye itikadi za ccm zilivyokosa soko kama kamongo,pia hakuna mwana CCM aliyelazimishwa kuangalia ITV au kununua NIPASHE,mbona hawo wa channel ten,cloud,tbc hawakutuambiwa kuwa wao wako CCM? you making this personal with MENGI,Give us a break,unafikiri MENGI Na wazifa wake wa wamiliki wa vyombo vya habari aongoze kwa kuipendelea ccm bila kubalance kutakuwa na upinzani nchini? nyie ndio mburura mnaodhani upinzani ni vita na hauna umuhimu! check and balance is very important in any country,
 
Back
Top Bottom