funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
- Thread starter
- #121
Mkuu bila shaka una yako na Mengi hivi unafikiri hizo tv zake unaangalia peke yako... Nimeangalia hizo tv zake jana na leo ikiwemo itv wameonesha habari nyingi kuhusu Mh Magufuli na kuapishwa leo na tena zilikuwa za kwanza na haitoshi waliweka kipindi maalum kuhusu Magufuli...hebu acha uongo na uchochezi alafu watu waseme ni mwana CCM...!
Uliangalia kipindi cha saa kumi na mbili jioni pale EATV jana?