Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!
vipi DIALO alikua fair pale star tv?hivi kiuhalisia uki evaluate taarifa za itv wakati wa uchaguzi na zile za star tv kituo gani kilibalance taarifa?huu sio muda wa mipasho na kujipendekeza kwa magufuli ni muda wa kazi.mbona magufuli yuko fair kwenye matmshi yake kuliko vidampa wa pembeni jamani?mengi unafiki wake ni upi sasa?
 
Usimuamshe alie lala ukimuamsha utalala wewe,huyu mleta hoja hii ana upungufu wa fikra
 
Unapomkuta Mzee wa miaka 76 beach na photo shop na babe wa miaka 35 wanapiga picha na kutuma kwenye mitandaoo ujue MTU mzima yupo chaka zamani...
 
Nyie mnabwabwaja tu kajitaftieni hela acheni kuleta ushuzi wenu huku .Mengi ni MTU makini zaidi ya ufikiriavo kilaza weye
 
Spencer Lameck na Emmanuel Buhoera ni kipimo kizuri cha fairness katika ITV, nahisi wote wawili walifanya kazi yao vizuri na bila kuelekezwa.
 
Jina lako ni Jingalao, huyu ni mfanyabiashara na hafungamani na upande wowote, ndio maana alikuwa akionesha mpaka mikutano ya Hashim Rungwe..na kama ukitaka kujua kweli wewe ni Jingalao pima hata dakika za airtime alizokuwa akipewa Magufuli compared na Lowassa wakati wa taarifa ya habari saa 2 usiku
 
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!

kwa hiyo diallo alikuwa sawa kuibeba ccm vitu vingine ni kuviacha vipite taifa liendelee tumia vizur mtandao kuliko kueneza chuki na uchonganishi taifa linasonga mbele hata rafa anachezesha mpira lakin kuna timu aniaishabikia kwa kuwa nae ni binadamu hakuna mkamilifu
 
Kwanza uelewe kuwa UKAWA wameshindwa na hawajaibiwa kura...!!

Star tv ni Tv ya mwenyekiti wa ccm na ilikuwa kwenye kampeni bila kificho.

Mengi alijiweka kwenye neutral side wakati akitangaza kimahaba kwa advantage ya lowassa.

Mengi badala ya kuonesha watu wanavyosheherekea ushindi anatuonesha watu wanafarakana.

Wachambuzi kwenye kipindi ni wachaga watupu...halafu Mungu alivyo mkubwa aliwaabisha kwa kuonesha clip ya mchambuzi na Mwandishi wakipongezana kwa kazi nzuri...

Wanafiki aina ya Mengi watakiona kuanzia leo

hata huyo magufuli wako hana ubavu wa kumgusa mengi kifup serikali ya ccm haina nguvu kwa wafanyabiashara wakubwa mtaishia kulialia nyuma ya keybod
 
Mengi ni mpuuzii sanaaaa tena saana dalali wa gesi nikumbuka statemt ya muhungo ndio maana natamani awe waziri mkuu ili atimue wawekezaji wababaishaji
 
Mengi hakuwa fair alikuwa ni purely Team lowassa ...mbaya zaidi hadi leo anaonesha kutoridhishwa na matokeo na anatumia media kuonesha Tanzania kuna vurugu.

Nimeangalia EATV jana kati ya habari zaje muhimu kitaifa eti kuapishwa rais haikuwepo!!

Mzee mnafiki sana na kama alizoea kukwepa kodi mwisho wa hilo ni leo.
Mkuu nisaidie emanuel buhohela aliekuwa anatembea na magufuli mda wote wa kampeni anatokea chombo gani cha TV maana mm ni mgeni kidogo
 
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.

Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.


HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!

Umesema kweli mkuu. yani huyo mzee mwaka huu alizidi sana ni mnafiki sana. mungu atamlipa zaidi adhabu yake
 
Mengi akifilisika ni msiba kitaifa wa Unemployment (ajira). Kaajiri maelfu ya watanzania na usifikir serekali pia itambana ili afilisike saau ilo nyumbu we.

Serekali inategemea watu kama hawa kukuza uchumi na kupunguza unemployment rate
 
Back
Top Bottom