Kwanza uelewe kuwa UKAWA wameshindwa na hawajaibiwa kura...!!
Star tv ni Tv ya mwenyekiti wa ccm na ilikuwa kwenye kampeni bila kificho.
Mengi alijiweka kwenye neutral side wakati akitangaza kimahaba kwa advantage ya lowassa.
Mengi badala ya kuonesha watu wanavyosheherekea ushindi anatuonesha watu wanafarakana.
Wachambuzi kwenye kipindi ni wachaga watupu...halafu Mungu alivyo mkubwa aliwaabisha kwa kuonesha clip ya mchambuzi na Mwandishi wakipongezana kwa kazi nzuri...
Wanafiki aina ya Mengi watakiona kuanzia leo