Inaguresheni
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 294
- 131
kosa lake haku declare interest kwamba yy ni mwanachama wa ukawa, ITV ilitumika kuhujumu CCM kwa kuipendelea chadema na kufanya proganda za chadema kuiangamiza ccm. Hiyo mtu yeyote mwenye akili timamu anajua hilo.
Dialo yeye hana kosa maana anajulikana ni mwana CCM na ni mwenyekiti wa mkoa wa CCM.
Sijakuelewa. Kama Dialo kaibeba ccm sababu yeye ni Mwana ccm kwanini ulaumu wengine walioibeba ukawa kwa sababu wao ni wana ukawa? Unajijibu na kujipinga. Au ndio kusema mkuki mtamu kwa nguruwe..............?