Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Mwisho wa unafiki wa Mengi!

Sijui kama ataudhulia; mbowe kamwambia asije
 
ENDAPO UKAWA WASINGE IBIWA KURA ZAO NA KUSHINDA,STARTV UNGELIWAITA WANAFIKI?
KWELI WEWE NI #jingalao

Kwanza uelewe kuwa UKAWA wameshindwa na hawajaibiwa kura...!!

Star tv ni Tv ya mwenyekiti wa ccm na ilikuwa kwenye kampeni bila kificho.

Mengi alijiweka kwenye neutral side wakati akitangaza kimahaba kwa advantage ya lowassa.

Mengi badala ya kuonesha watu wanavyosheherekea ushindi anatuonesha watu wanafarakana.

Wachambuzi kwenye kipindi ni wachaga watupu...halafu Mungu alivyo mkubwa aliwaabisha kwa kuonesha clip ya mchambuzi na Mwandishi wakipongezana kwa kazi nzuri...

Wanafiki aina ya Mengi watakiona kuanzia leo
 
tatisho la mengi ni ushamba unamsumbua mfanyabiashara yeyote huwa hajiingizi kwenye siasa
 
Mengi hana njaa kama wewe. Kwa hela yake anaweza kuishi sehemu yoyote duniani na akajulikana ni tajiri. Kama unafikiri kila mtu anaishi maisha ya kujikomba kama wewe, unapoteza muda.
 
Mengi hana njaa kama wewe. Kwa hela yake anaweza kuishi sehemu yoyote duniani na akajulikana ni tajiri. Kama unafikiri kila mtu anaishi maisha ya kujikomba kama wewe, unapoteza muda.

Kweli kabisa mkuu
 
Ccm imeweka mamluki hadi huku mitandaoni. Usipoisifu unaonekana unatangaza machafuko!!
 
babu meng niliwahi kumshauri kuhusu yule binti hakutaka kunisikia ona madhara yake
 
Mengi hana njaa kama wewe. Kwa hela yake anaweza kuishi sehemu yoyote duniani na akajulikana ni tajiri. Kama unafikiri kila mtu anaishi maisha ya kujikomba kama wewe, unapoteza muda.
Njaa anayo...na anapoharibu hupenda kutumia wahariri au wabunge au watoto yatima kama ngao...mwaka huu kaharibu kwa jembe lisilopenda unafiki...#hapakazitu
 
Japo ccm wanailaumu ITV kwa kuwapendelea cdm lakini ndio TV wanayoiangalia muda wote na wanaoangalia TBC ni wachache sana huku mitaani! Sasa mlitaka TV zote ziwasapoti nyie tu? Ebu kuweni na aibu!!eti juzi TBC wanafanya mahojiano na wassira kuhusu suala ya Zanzibar!! Hapo ndipo niloposhuhudia misukule live ikifanya kazi!
 
Kwanza uelewe kuwa UKAWA wameshindwa na hawajaibiwa kura...!!

Star tv ni Tv ya mwenyekiti wa ccm na ilikuwa kwenye kampeni bila kificho.

Mengi alijiweka kwenye neutral side wakati akitangaza kimahaba kwa advantage ya lowassa.

Mengi badala ya kuonesha watu wanavyosheherekea ushindi anatuonesha watu wanafarakana.

Wachambuzi kwenye kipindi ni wachaga watupu...halafu Mungu alivyo mkubwa aliwaabisha kwa kuonesha clip ya mchambuzi na Mwandishi wakipongezana kwa kazi nzuri...

Wanafiki aina ya Mengi watakiona kuanzia leo

Utaishia kuwa vuvuzela la ccm tu wewe
 

Attachments

  • 1446698956277.jpg
    1446698956277.jpg
    7.9 KB · Views: 299
Kosa la Mengi liko wapi? Kuhamasisha IPP Media kutoa habari bila upendeleo ndiyo imekuwa tabu!

Msidhani kila mtu anaweza kukubaliana nanyi kwa kila kitu, haiihitaji hekima kujua hilo.
 
Acha fikra mgando wewe unafiki wa Mengi upo wapi sasa? Ujinga tu unautengeneza bila sababu

angetoka ccm angeeleweka, lakini alibaki na kadi akiishushua ccm kila siku wakati wa uchaguzi huo kwa kiswahili ndio unaitwa unafiki
 
Ccm imeweka mamluki hadi huku mitandaoni. Usipoisifu unaonekana unatangaza machafuko!!

Karibu tena jamvini...habari za miaka mingi?

Mengi angejitanabaisha kama Team lowassa nisingemsema....lakini alijidai neutral huku akiiumiza ccm....mbaya zaidi alivyoonesha hali ya mambo kutokuwa shwari as if tunaingia vitani...halafu siku ya kutangazwa akataka kujipendekeza vijana wakampa madochi!!
 
Back
Top Bottom