Mwisho wa Chenge umefika rasmi

Chenge, Lowasa, Maige, JK, then who.....uwezo wa kupambana na mtu mmoja mmojaTanzania imedhihirka kuwa hatuna. Ona juzi tu hapa Bunge limekaa kujadili namna ya kuwang'oa Mhongo na Werema, hadi Werema anawaelekeza achaneni na Maswi, Pambaneni na mimi...yaani anawapunguzia idadi ya watu wa kupambana nao lakini wapi.

Mpaka ikaundwa kamati kwenda kukarabati report na maazimio iliyoyafuta yale ya kamati, lakini wapi.... Kufupisha mambo just ng'oa CCM maana huyo mnaepambana naye ana mashina kibao na mizizi imara iliyoenda mbali, hata mking'oa yeye wataota wengine wapya na mbinu mpya. Cha msingi ng'oeni CCM tu, end of story.
 
aisee, kwaio chenge ni taasisi kama ilivyo urais
 
Endelea kujidanganya!

mkuu chenge , UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA WEWE NDIO MTANZANIA ULIYETIA AIBU ZAIDI KWA MWAKA 2014 , UKIFUATIWA KWA MBAAALI NA TIMU ILIYOSHIRIKI OLYMPIC ! UMETISHA BABA !
 

Nilikuwa najarubu kuelewa maelezo yako. Nimekuelewa...hili suala si lakuwaachia UKAWA pekee wewe pia kwa nafasi yako unatakiwa ukawelemisha wa uko kijijini, pindi utakapo pata nafasi. Mimi nimeishaanza.
 
Nasikia jamaa lina roho mbaya saaana,at likishikana na mtu mikono lazima likanawee
 

Usitie shaka hao ni wepesi kuliko karatasi....I told em they thought waa joking hawa jui wanapogana na nani..... Hivi sasa wanapigana wao kwa wao na soon watazama wote kama meli ya titanic!

Narudia tena hakuna fisadi atagusa nyeti za nchi hii tena its a decree mwenye nguvu na ajaribu tuone; kings rule by decrees!
 

Unatiwa kidole cha m.at.ako ww
 
soma maandiko ya kisheria yaliyoandikwa na chenge
they say charity begins at home,
hiyo elimu yake ya sheria imelisadia nini taifa kwa ujumla wake zaidi ya kulitia hasara?!.
 
sawa anang'olewa jeee!! Na kile kitabu cha hadithi (katiba ya ccm) alichotutungia tuendelee kukisoma???
 
ccm walvyokuwa wendawazimu na wapumbavu mwaka kesho watampitisha kwenye ubunge na huyo mwenyekiti wao wa ccm profesa wa kichina ataenda kumpigia kapmeni, inauma sana watanzania kufanywa wajinga kiasi hiki
 
Hapa kazi ipo ila hakuna kisichowezekana kwa mungu, tuendelee kuomba mungu ataski kilio chetu
 
sawa anang'olewa jeee!! Na kile kitabu cha hadithi (katiba ya ccm) alichotutungia tuendelee kukisoma???
Mbona tulishakichinjia baharini kitambo ! Hakuna katiba mpya , lile lilikuwa kongamano la ccm mkuu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…