Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,570
aisee, kwaio chenge ni taasisi kama ilivyo uraisUnajua chenge ni mfumo. Yupo ndani ya mfumo fisidi ambao ni kikundi kikubwa ambacho kina mikakati ya kuendelea kula. Na sasa wapo kwenye gesi. Watakwenda kwenye mafuta. Kila idara wanakula. Wana mtandao mpana sana. Kuwamaliza si kazi rahisi kihivyo. Walijenga mtandao mpana sana. Wakati change ni ag aliweka mazingira ya maswaiba wake kushika nafasi nyeti. Ag alikuwa yeye MTU wa shinyanga. DCI ndugu yake wa huko. Maadili ya viongozi pia MTU wa huko huko.PCCb pia MTU wa huko. Na hata baadaye DPP alitoka huyo. Acha wafanyakazi wadogo na watu kwenye system ambao aliwagroom. Wametengeneza sana mfumo wa ufisadi. Baba yao ni mmakuwa. Vyovyote vile ili kumfuta huyu jamaa lazima kukiondoq chama chake kwanza.
mkuu itachukua muda sana kwa sisiem kutoka, kwani tz hakuna upinzani wa kweli.
Yes!
Unajua wakishakua kwenye hivyo vyeo wanajisahau...Shetani huwa hana urafiki wa kudumu ipo siku atakuacha uchi ushangae
Endelea kujidanganya!
Huyu Chenge ndie kinara wa ufisadi na kejeli kwa walalahoi! kila dili yumo! na huwa anapiga hela ndefu ya UMMA ambayo watakula kizazi chake cha tano kijacho! na wizi wao hutokana na kusahau kuwa cheo ni dhamana! na jeuri ya pesa wanazowaibia masikini wasiojua kuwa majasho yao yanaliwa na wajanja wachache kina Chenge!
Ila bado najiuliza kuna wabunge wangapi wana uwezo wa kupambanua issues na kuchangia kwa mantiki ili kuliokoa taifa na umaskini manake sirikali imeshindwa? na ndio maana ilitakiwa kigezo cha elimu kiwepo! binafsi nilidhani digrii moja ndo haswa ilifaa kuwa nayo mbunge wa zama hizi za Globalization! jamani tukatae tukubali , ukiwa na elimu ya form four huwezi kuwa sawa kiuelewa na mtu wa form six! form six hawezi kufanana na graduate! tunahitaji wabunge wasomi!huu si wakati wa mkoloni jamani miaka imeenda sana tubadilike kama wenzetu!
naamini umbumbumbu uko kila sekta bongo na hii ni kutokana na nepotism!! na hawa magamba hakuna mwenye nafuu, wote ni wale wale tu baba mmoja mama mmoja! ukitaka ushahidi wa ukweli taja gamba mmoja tu yoyote halafu waambie CAG na PCCB wamkague! utakayopata iwe siri yako! La maana tuwaondoe wote tuweke safu mpya uchaguzi wa 2015! UKAWA moto wa Escrow usizimike , upuliziwe mda wote! fanyeni operesheni kuelimisha wananchi wote vijijini!
Pia sasa ni wakati muafaka wa kudai na mikataba ya gesi ijadiliwe bungeni na sijui kwanini mlirudi bungeni kuridhiana na magamba, mngetoka moja kwa moja tukose wote potelea mbali tumezoea msoto miaka 50 sasa njaa na magonjwa ndio maisha yetu. Ila nawapongeza sana ZITTO , Kafulila na Ukawa kwa hatua waliyofikia katika kulimaliza sakata la escrow japo binafsi sijaridhika na maazimio kwakuwa bado naona yamewaacha huru mafisadi wote bila kujali ushahidi wa wazi wa wizi wao wa karne. kwangu mimi binafsi bongo imeandika historia ya kipekee duniani ya kuwaacha huru majangili ya taifa hili na kubariki wizi uliokubuhu wa kodi za walalahoi huku ushahidi dhahiri ukiwatia vitanzi mafisadi.
dhambi ya kuwafunga wanaovuta bangi kwa kukosa ajira na elimu na wezi wa kuku na kuwaachia kula bata bata majangili haya ya escrow na fisadi nyinginezo za nyuma itawahukumu wote wanaohusika! nawaza kuwa sasa hakuna chombo kinachoweza kuwajibisha wezi wa mabilioni ya umma hata wakamatwe red handed.na labda wanaowaza na wanaoendelea kuiba pesa ya umma sasa wataona kumbe poa tu kuiba mabilioni na hufanywi chochote! huwezi amini nilikuwa nikilipa bill 120,000 kwa mwezi kwa miaka miwili, nyumba ndogo, haina jiko la umeme , pasi mara moja kwa wiki, friji tunazima mchana! nilipofunga LUKU juzikati nimepigwa butwaa kwa maana kwasasa natumia 40,000 matumizi yote! sikujua kumbe hela zinaenda kwa haya majitu yasiyo na huruma wala aibu! ni mtazamo tu!
Kuna waziri mkuu mstaafu wa Italy anaitwa Silvio Berlusconi kafanana sana tabia na chief Chenge
Unajua chenge ni mfumo. Yupo ndani ya mfumo fisidi ambao ni kikundi kikubwa ambacho kina mikakati ya kuendelea kula. Na sasa wapo kwenye gesi. Watakwenda kwenye mafuta. Kila idara wanakula. Wana mtandao mpana sana. Kuwamaliza si kazi rahisi kihivyo. Walijenga mtandao mpana sana. Wakati change ni ag aliweka mazingira ya maswaiba wake kushika nafasi nyeti. Ag alikuwa yeye MTU wa shinyanga. DCI ndugu yake wa huko. Maadili ya viongozi pia MTU wa huko huko.PCCb pia MTU wa huko. Na hata baadaye DPP alitoka huyo. Acha wafanyakazi wadogo na watu kwenye system ambao aliwagroom. Wametengeneza sana mfumo wa ufisadi. Baba yao ni mmakuwa. Vyovyote vile ili kumfuta huyu jamaa lazima kukiondoq chama chake kwanza.
Acheni wivu wa kike!
rosemarie hilo ni dua la kuku kamwe halimpati mwewe..Chenge ni mtaalamu aliyebobea kwenye sheria na siasa hivyo ukimwona wa kazi gani duniani wanasema watampata lini....Usimwonee gere kwa kupata fedha hizo unachotakiwa kujiridhisha ni kama kweli fedha hizo hakustahili kulipwa au amekwiba....vinginevyo hata sala yako leo ilikuwa unamwomba shetani kwani Mungu hapokei dua za wenye husuda...
Unatiwa kidole cha m.at.ako ww
they say charity begins at home,
hiyo elimu yake ya sheria imelisadia nini taifa kwa ujumla wake zaidi ya kulitia hasara?!.
sawa anang'olewa jeee!! Na kile kitabu cha hadithi (katiba ya ccm) alichotutungia tuendelee kukisoma???watanzania wenzangu,
kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,chenge ambaye kwa sasa ni mbunge na mwenyeketi wa kamati ya uandishi wa katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma harvard university
yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake
chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli chenge,kwa taarifa tu ni kwamba chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye escrow zinafikia mwisho wake,kamwe chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na atavuna alichopanda!
Kilichobaki sasa hivi kwa watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,
nimetoka kanisani na tumemshukuru mungu kwa hapa tulipofika soo far,
mungu ibariki tanzania na viongozi waaminifu,amen!
Vitendo vyake unavionaje mkuu ?soma maandiko ya kisheria yaliyoandikwa na chenge
Mbona tulishakichinjia baharini kitambo ! Hakuna katiba mpya , lile lilikuwa kongamano la ccm mkuu .sawa anang'olewa jeee!! Na kile kitabu cha hadithi (katiba ya ccm) alichotutungia tuendelee kukisoma???