Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,516
- 14,244
NimekuelewaMmoja akikosa busara, tusimfuatishe
NimekuelewaMmoja akikosa busara, tusimfuatishe
NilijuaHuyu jamaa naona kaamua kutumiwa na Chadema
ukiondoa ayo ya serikal.Nipashe na Mwananchi yanaaminika zaid...hayana kufungamana kisiasaUlitegemea habari leo au Uhuru waandike hiyo habari?
Mchungaji gani asiyejua mamlaka iliyopo inatambuli mpaka kwa MUNGU?hajielewi huyo,wala kwenye uzi huu sirudi tena
Unamaana taarfa itakua km riport ya Lema bungen?Hilo unalotaka halitaandika, na likiandika unaweza kuona ujumbe usio halisi!
BAKWATA ni taasisi ya serikaliWatumishi kama hawa wanaona kweli na kuikemea hadharani ni wachache sana wengi hasa bakwata wanaweka njaaa zao mbele lakini damu ya watu ipo mikononi mwao na uzao wao
Nakushukuru angalau kiongozi wa dini umejitokeza na kusema neno la kuitakia nchi yetu mema bila unafiki wa CCT, TEC etc!
Mungu ambariki!Jamaa kapanga hoja vizuri
Hata katika hilo linaloitwa kutumbua majipu, kuwe na staha. Siyo ile ya Makonda-nitumbue, tumbuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Rais hafanyi hivyo, kuna taratibu zake.Mimi namuunga mkono rais kwenye mambo mengi kama kutumbua majipu,kuyazuia majipu,kukusanya kodi n.k
Simuungi mkono kabisa kwenye uoga wake wa kisiasa dhidi ya wanasiasa wenzake!!Hilo tu ndio linanikera sana
Tatizo ni kwamba je, huyo mwenye mamlaka anatambua kwamba Mamlaka hiyo aliyonayo imetoka kwa Mungu? Maana tatizo ndio huwa liko hapo. Huwa tunakuwa wepesi kunukuu huo waraka kwa Warumi kwamba mamlaka yote inatoka kwa Mungu, tunasahau wajibu wa utawala kwa Mungu ambaye ndio asili ya Mamlaka yote. Kama mtawala anatambua kwamba mamlaka aliyonayo imetoka kwa Mungu, basi atafuata haki, maana Mungu ni mwenye Haki. hatawabagua watu wake, maana anawatawala kwa niaba ya Mungu mwenyewe. ajiulize kwamba je, kama angekuwa ndio Mungu mwenyewe anatawala, angewabagua watu wake hivyo? Aliwakemea waisraeli wasiwabague hata wageni, sembuse waisraeli wenzao?Mchungaji gani asiyejua mamlaka iliyopo inatambuli mpaka kwa MUNGU?hajielewi huyo,wala kwenye uzi huu sirudi tena
Tatizo ni kwamba hayo magazeti unayoyaamini, mengi yanaogopa kuandika habari kama hizo. inahitaji uwe na akili kama ya mwendawazimu hivi kuikosoa serikali siku hizi. Hizi siyo enzi za JK ati.Ujumbe mzur ila gazeti alilotumia!
Nashaur atumie gazet lisilo na mlengwa wa Kisiasa
Huyo mchungaji tunamtaka front December mosiNakushukuru angalau kiongozi wa dini umejitokeza na kusema neno la kuitakia nchi yetu mema bila unafiki wa CCT, TEC etc!
Mungu kweli amsaidie alitambue hilo, lasivo hilijambo litatugharimu.M
Nionavyo mimi, rais wetu anayo hulka ya kuzungumzia hadharani mambo mengi amabayo anakuwa hajawashirikisha washauri na kwa kufanya hivyo makosa hayaepukiki. Aidha Rais wetu pia anayo hulka ya kuzungumzia mambo ambayo kwa nafasi yake hastahili kuzungumzia kwani kwa kufanya hivyo atakuwa amewazuia wasaidizi wake kupata maoni kutoka kwa wadau na wananchi kwa ujumla. Tuzidi kumuombea Mungu amponye na udhaifu huu.