Yale yale ya udini yanaanza kuingilia taratibu mamlaka nyingine za utawala.
Watumishi wa Mungu pale wanapoishia ndipo mamlaka nyingine za kidunia ndipo zinapoanzia.
Ukisoma katika Biblia Takatifu kitabu cha Warumi 13:1 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.'
13:2 'Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. '
Unaweza kuendelea 13:3-14.
Siyo kila mamalaka zilizopo hapa duniani zimetoka kwa Mungu.
Maana hata kama ww ni mwanamume una mamlaka nyumbani kwako. Lakini siyo kila nyumba ina baraka za Mungu, hata shetani ana kundi lake analomiliki.
Hata Mungu alimpa Adam malaka ya bustani ya Eden ila alimkataza kitu kimoja asikitumie na ilimshinda akatii mamlaka za shetani.
Pia Mungu anapotoa mamlaka ya kuongoza watu wake anasema kawaongoze na sio kuwatawala.
Sasa nyie mnatawala badala ya kuongoza. Hivyo hamna mamlaka ya Mungu. Mtajua mna mamlaka ya nani.
Yale yale ya udini yanaanza kuingilia taratibu mamlaka nyingine za utawala.
Watumishi wa Mungu pale wanapoishia ndipo mamlaka nyingine za kidunia ndipo zinapoanzia.
Ukisoma katika Biblia Takatifu kitabu cha Warumi 13:1 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.'
13:2 'Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. '
Unaweza kuendelea 13:3-14.
Siyo kila mamalaka zilizopo hapa duniani zimetoka kwa Mungu.
Maana hata kama ww ni mwanamume una mamlaka nyumbani kwako. Lakini siyo kila nyumba ina baraka za Mungu, hata shetani ana kundi lake analomiliki.
Hata Mungu alimpa Adam malaka ya bustani ya Eden ila alimkataza kitu kimoja asikitumie na ilimshinda akatii mamlaka za shetani.
Pia Mungu anapotoa mamlaka ya kuongoza watu wake anasema kawaongoze na sio kuwatawala.
Sasa nyie mnatawala badala ya kuongoza. Hivyo hamna mamlaka ya Mungu. Mtajua mna mamlaka ya nani.
Yale yale ya udini yanaanza kuingilia taratibu mamlaka nyingine za utawala.
Watumishi wa Mungu pale wanapoishia ndipo mamlaka nyingine za kidunia ndipo zinapoanzia.
Ukisoma katika Biblia Takatifu kitabu cha Warumi 13:1 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.'
13:2 'Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. '
Unaweza kuendelea 13:3-14.
Siyo kila mamalaka zilizopo hapa duniani zimetoka kwa Mungu.
Maana hata kama ww ni mwanamume una mamlaka nyumbani kwako. Lakini siyo kila nyumba ina baraka za Mungu, hata shetani ana kundi lake analomiliki.
Hata Mungu alimpa Adam malaka ya bustani ya Eden ila alimkataza kitu kimoja asikitumie na ilimshinda akatii mamlaka za shetani.
Pia Mungu anapotoa mamlaka ya kuongoza watu wake anasema kawaongoze na sio kuwatawala.
Sasa nyie mnatawala badala ya kuongoza. Hivyo hamna mamlaka ya Mungu. Mtajua mna mamlaka ya nani.