Huyu Mwingira ameshaonesha kwa matendo yake kuwa ni NABII WA UONGO. Mtu mwenye kiburi, roho mbaya na tamaa ya mali hawezi kuwa Nabii wa kweli.
Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
Mmmh! huyu nae sasa anataka wenye imani zao kuanza kusema anampigia kampeni 'Padri'
Huyu aliichangia CCM milioni 10 kwenye ile fundrising yao 2010!.
Huyu kwa upande mmoja ni mtume na nabii wa ukweli kabisa kwa uwezo wa kutoa mapepo kwa jina la Bwana na mahubiri yenye mashiko!.
Ila pia kwa upande mwingine nae ni binadamu tuu kama sisi binadamu wengine na anaweza kuanguka kwenye dhambi, akatubu na kusimama tena kama kile kisa cha kumbariki yule mke wa advocate, baraka zikakolea mpaka mke akamshauri mmewe wamkatie pande la kiwanja chao pale Mbezi Beach, na mume akakubali, kama shukrani za mibaraka kwa mkewe, kiwanja akamegewa na kuporomosha mjengo wa bilioni 2!. Baada ya mjengo kukamilika, siri ya baraka za mke zilikuwa zikifanyika vipi ikavuja, mke akakiri na kutubu, mtume na nabii akakiri na kutubu kwa mkewe na Mungu, wote wakasameheana, ila mwenye kiwanja sasa ameghairi kuendelea kummegea kiwanja chake mtume na nabii ili hali kina mjengo wa bilioni 2!, mume amemtaka nabii kuuondoa mjengo wake, sasa kesi ipo mahakamani!.
malizia na UZINZI hasa wake za watu bora angejukua vibinti viumini vyake, Kakobe mara ngapi alishasema MREMA atashinda uchaguzi leo yuko wapi? na waumini nao wanashangilia maana hawaruhusiwi kubishaHuyu Mwingira ameshaonesha kwa matendo yake kuwa ni NABII WA UONGO. Mtu mwenye kiburi, roho mbaya na tamaa ya mali hawezi kuwa Nabii wa kweli.
Mungu ni wa si wa Mwingira pekee.Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
au ni coincidence tu?Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
Huyu aliichangia CCM milioni 10 kwenye ile fundrising yao 2010!.
Huyu kwa upande mmoja ni mtume na nabii wa ukweli kabisa kwa uwezo wa kutoa mapepo kwa jina la Bwana na mahubiri yenye mashiko!.
Ila pia kwa upande mwingine nae ni binadamu tuu kama sisi binadamu wengine na anaweza kuanguka kwenye dhambi, akatubu na kusimama tena kama kile kisa cha kumbariki yule mke wa advocate, baraka zikakolea mpaka mke akamshauri mmewe wamkatie pande la kiwanja chao pale Mbezi Beach, na mume akakubali, kama shukrani za mibaraka kwa mkewe, kiwanja akamegewa na kuporomosha mjengo wa bilioni 2!. Baada ya mjengo kukamilika, siri ya baraka za mke zilikuwa zikifanyika vipi ikavuja, mke akakiri na kutubu, mtume na nabii akakiri na kutubu kwa mkewe na Mungu, wote wakasameheana, ila mwenye kiwanja sasa ameghairi kuendelea kummegea kiwanja chake mtume na nabii ili hali kina mjengo wa bilioni 2!, mume amemtaka nabii kuuondoa mjengo wake, sasa kesi ipo mahakamani!.
Ni kweli Mkuu, mbaya zaidi jambo hili haliitaji UNABII maana ni hali ya mabadiliko inayokuja kutokana na uhalisia wa mambo. Kitu ambacho kinaonyesha dalili zote kutokea hakiihitaji unabii wala utabiri, ni kujipanga tu na kuamua.Huyu Mwingira ameshaonesha kwa matendo yake kuwa ni NABII WA UONGO. Mtu mwenye kiburi, roho mbaya na tamaa ya mali hawezi kuwa Nabii wa kweli.
Huyu aliichangia CCM milioni 10 kwenye ile fundrising yao 2010!.
Huyu kwa upande mmoja ni mtume na nabii wa ukweli kabisa kwa uwezo wa kutoa mapepo kwa jina la Bwana na mahubiri yenye mashiko!.
Ila pia kwa upande mwingine nae ni binadamu tuu kama sisi binadamu wengine na anaweza kuanguka kwenye dhambi, akatubu na kusimama tena kama kile kisa cha kumbariki yule mke wa advocate, baraka zikakolea mpaka mke akamshauri mmewe wamkatie pande la kiwanja chao pale Mbezi Beach, na mume akakubali, kama shukrani za mibaraka kwa mkewe, kiwanja akamegewa na kuporomosha mjengo wa bilioni 2!. Baada ya mjengo kukamilika, siri ya baraka za mke zilikuwa zikifanyika vipi ikavuja, mke akakiri na kutubu, mtume na nabii akakiri na kutubu kwa mkewe na Mungu, wote wakasameheana, ila mwenye kiwanja sasa ameghairi kuendelea kummegea kiwanja chake mtume na nabii ili hali kina mjengo wa bilioni 2!, mume amemtaka nabii kuuondoa mjengo wake, sasa kesi ipo mahakamani!.
Mwingira amechanganyikiwa kanisa lake limemshinda watu hawaponi tena na waumini wanamkimbia baada ya kugundua utaPELI wake!
Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
Mkuu inawezekana amesema ukweli lakini tatizo amesemea kanisani, wengi watazani anawapigia kampeni chama fulani.LAkini katika hilo uongo uko wapi?
CCM wameanza zamani tu kujiandaa kuwa chama cha upinzani.