Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Time will tell,ila CCM kuanguka haihitaji mtabiri au nabii kutabiri...yote yanaonekana wazi kwa macho makavu.
Huyu Mwingira ameshaonesha kwa matendo yake kuwa ni NABII WA UONGO. Mtu mwenye kiburi, roho mbaya na tamaa ya mali hawezi kuwa Nabii wa kweli.
Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
Kipindi Live TRENET: Mtume na Nabii Josephat Mwingira katika mahubiri yake ameeleza kuwa yeye kama mtumishi wa Mungu anatangaza kuwa walioko madarakani mafisadi na wapiga mabomu mwisho wao ni 2015 kama alivyoitabiria KANU ya Kenya...!! ametoa mifano kadhaa ya Biblia kuhusu Shedrack, Meshack na Abednego waliotupiwa kwenye moto lakini hawakuungua. ameeleza kwa ujasiri sana kuwa watawala wa Tanzania wataharibikiwa mambo yao kutokana na maovu wanayowafanyia waTz..!
my take:
naona hz ni hasira za kupigwa mabomu pale kanisani kwake...!
Wale wanaokunywa mnazi asubuhio badala ya chai?
Huyu Mwingira ameshaonesha kwa matendo yake kuwa ni NABII WA UONGO. Mtu mwenye kiburi, roho mbaya na tamaa ya mali hawezi kuwa Nabii wa kweli.
Time will tell,ila CCM kuanguka haihitaji mtabiri au nabii kutabiri...yote yanaonekana wazi kwa macho makavu.