mie sijasema hivyo lakini.Ataokolewa na yule ambae hua mwijaku anampa zawadi aliyotunukiwa na muumba
Mtoa mada ameandika kama anafukuzwaMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mtangazaji wa Clouds FM, Mwemba Burton maarufu Mwijaku katika shtaka la kusambaza picha za utupu kinyume cha Sheria linalomkabili
-
Mwijaku anashutumiwa kusambaza picha za utupu za Msanii wa Bongo Movie, Menina Alegria kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019
Halaf ilikuwa awe Spika wa Bunge la Jamhuri ya CCM huyuMtangazaji wa Clouds, Mwemba Burton maarufu Mwijaku amekutwa na kesi ya kujibu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Ni baada ya Serikali kufunga ushahidi wao wa mashahidi watano na vielelezo vinne walivyoviwasilisha wakati wa ushahidi.
Mwijaku anakabiliwa na shtaka moja la kusambaza picha za utupu kinyume cha sheria.
Pia, soma;
Thread 'Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana' Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana
===
My take
Ndio maana jamaa anajitahidi sanaa kujipendekeza kwa mama Samia ilia apate huruma...
Nilijuaga ilishaishaga hii mamboMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mtangazaji wa Clouds FM, Mwemba Burton maarufu Mwijaku katika shtaka la kusambaza picha za utupu kinyume cha Sheria linalomkabili
-
Mwijaku anashutumiwa kusambaza picha za utupu za Msanii wa Bongo Movie, Menina Alegria kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019
kaka ake ni naniAlafu huyu kawa mtundu alipokuwa mkubwa, wakati kaka yake alikuwa mtundu alipokuwa mdogo ajabu sana.
eti kidampa aisee we kweli mkongwe hili ni neno la zamani mnoKheeeeeh yaan kesi yake na Menina ilikua bado tyuuh? Uwiiiih huyu kidampa analo, labda yule....... Atamuokoa kwa hili. Ngija nione nguvu ya......
Makubwa haya tena khaaaah,.
😁😄😃😃😆😅😁😁Habari za Kazuramimba mkuu
mie mzee nalea wajukuu hapa.eti kidampa aisee we kweli mkongwe hili ni neno la zamani mno
Hivi wewe huwa unasoma saa ngapi kila muda uko mitandaoni?Kheeeeeh yaan kesi yake na Menina ilikua bado tyuuh? Uwiiiih huyu kidampa analo, labda yule....... Atamuokoa kwa hili. Ngija nione nguvu ya......
Makubwa haya tena khaaaah,.
Ndiyo manaaa! Picha alizosambaza ni zake au za watu wengine?Mtangazaji wa Clouds, Mwemba Burton maarufu Mwijaku amekutwa na kesi ya kujibu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Ni baada ya Serikali kufunga ushahidi wao wa mashahidi watano na vielelezo vinne walivyoviwasilisha wakati wa ushahidi.
Mwijaku anakabiliwa na shtaka moja la kusambaza picha za utupu kinyume cha sheria.
Pia, soma; Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana
===
My take
Ndio maana jamaa anajitahidi sana kujipendekeza kwa mama Samia ilia apate huruma...
Fafanua kidogo unatuacha njia panda 😂Ataokolewa na yule ambae hua mwijaku anampa zawadi aliyotunukiwa na muumba
Huyu Kilaza katika wapi hajui hata Mlima Kilimanjaro upo mkoa gani...!!!Aibuuuu.
Ziwe ni Picha zake au za wengine ni kosa kisheria!!Ndiyo manaaa! Picha alizosambaza ni zake au za watu wengine?