Agrey998
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 398
- 518
Kama aliweza kuchukua form ya uspika atashindwa nini ubunge ni swala la muda tuMwijaku simchukulii km mwanaume aliyetimia..
Alafu mtu km huyu unaweza kuta hizi sarakasi zake na uchawa wote target yake ni kuja kugombea ubunge 2025 kule kazula mimba-kigoma Kwa tiketi ya CCM na anapita..sijui tumelogwa na Nani watz
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app