Marga
Senior Member
- Jun 8, 2012
- 113
- 34
Nitashangaa kama Chama Cha Walimu kitakaa kimya! Hili ni tusi
Walimu wenyewe washaacha kazi zamaani,
wamebaki na ajira tuu.
Nitashangaa kama Chama Cha Walimu kitakaa kimya! Hili ni tusi
Kukusaidia Bw Makalla ni kwamba hao anaowataja Mwigulu, wanaweza ku instruct na sio kufundisha. Level ya Primary na sekondari ni total teaching na siyo instructing, hivyo mwanasheria au mhandisi hawawezi kamwe kufundisha. Hapo baba ni mpaka ujue kitu kinaitwa pedagogy of education, philosophy of education, curriculum and education, educational evaluation, standardization of marks, etc
tatizo hapa kwetu kwa kiswahili tunarahisisha kuwaita malecturer waalimu, hatuoni hiyo tofauti......Lecturer ni instructor siyo teacher plse tofautisha.Nadhani tunakuwa wavivu mno wa kujisumbua kujua mambo.
Wana jf tunaweka chuki tunapochambua hoja ya mwigulu. Hili wazo ni mhimu sana kwani amesema kuliko kusubiri walimu mpsks wamalize ndio waajiriwe ni bora kuwachukuwa wataalam ambao wapo tu hawana kazi. Lipi bora mwsnsfunzi kujisomea hesabu au kufundishwa na mhandisi. Acheni kuwaza kizamani na chuki ndani
Walimu wenyewe washaacha kazi zamaani,
wamebaki na ajira tuu.
...endapo mishahara ya walimu ingekuwa mizuri, leo hii wale wanaopata marks za juu ndio wangekuwa wanakwenda Ualimu, ila kwa sababu mishahara ya Walimu ni duni ndio maana sasa watu wanaoenda Ualimu ni wale wenye marks za chini, solution hapa ni kwanza kuwaondoa walimu vilaza wasio na uwezo, kama Mwalimu wa hesabu niliyemshuhudia anayewafundisha Wanafunzi -2 - -6 = -8; baada ya kuondoa hawa, maslahi ya Walimu yapandishwe, ili likifanyika automatically watu wenye sifa stahiki wataenda Ualimu...kutokana na maelezo yako unamaanisha hao watalipwa zaid ya walimu coz elimu yao ni quality kuliko ya walimu au na hiyo itakua n serikali ya jk au ya nan?
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?
Sha Makala
Lipi bora mwsnsfunzi kujisomea hesabu au kufundishwa na mhandisi. Acheni kuwaza kizamani na chuki ndani
Alaa kumbe! Ndo maana wanawadharau walimu. Wanadhani ni biashara ya kila mtu. Foolish.Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine,Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.
Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee,mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.
Hata hawa ni walimu
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?
...mmekazana na pedagogy badala ya msingi wa kufundisha, kujua kwa umakini somo unalolifundisha, hapo ndipo kulipo na tatizo kuliko taaluma ya kufundisha, huwezi ukamtegemea mwalimu failure awatoe wanafunzi wazuri, hapa ndipo palipo na tatizo na wala sio abc za Ualimu......Enzi nasoma nimefundishwa na watu ambao hawajui hizo taaluma za ualimu lakini wapo deep kwenye masomo husika, na believe me, hawa wanasaidia sana huko mitaani kuliko walimu vilaza walioko mashuleni......Kwa lugha rahisi, ni heri mwanafunzi afundishwe mathematics na mtu mwenye uwezo wa A ya mathematics japo hana taaluma ya ualimu kuliko kuwa na Mwalimu mwenye taaluma ya Ualimu lakini mwenye uwezo wa E ya Mathematics....Mkuu, moja ya sababu ya kufeli kidato cha nne ni upuuzi kama huu wa kudhani kwamba kila mtu anaweza kufundisha. Unakumbuka walimu wa "voda fasta?" Kwa taarifa yako bado wapo mashuleni huko sekondari na wanafanya kazi nzuri tu ya kufelisha wanafunzi, kuwafundisha "u-check bob" na upuuzi mwingi tu kwa sababu hawana taaluma ya kufundisha (pedagogy). Afu serikali inaunda tume!
umesomeka mkuundugu, lecturer sio mwalimu, lecturer anaelekeza tu hana lesson plan, anaweza kutoa mwelekezo tu alaf watu wakaenda kujiandalia maelezo/notisi...lectuer na mwalimu ni vitu tofauti unless tunataka kuingiza siasa.
Nchemba kama jina lake ana matatizo makubwa au ya kisiasa au kifamilia au kisaikologia. Kama nchemba aposipoangalia baadae atakuwa ndicho chanzo cha kufa kwa taifa la Tanzania. Wameshindwa kumlipa mwalimu hata milioni moja basic, leo wanataka mwanasheria ambaye kwa std ya kawaida iyo ni travelling allowance ya siku mbili na nusu, anataka injinia akafundishe secondary kwa masilahi yepi? Ukitaka mwanasheria akafundishe secondary basi tuache forces of demand and supply zifanye kazi in a way mwanasheria aamuke mwenyewe akaombe ila kulazimishana hatuendi popote..Nchemba na boss wake hawaelewani na walimu mpaka matokeo yanakuwa ya ajabu, wanangoa madaktari meno.............iweje wawatake wanasheria?wajaribu waone kama hapatachimbika.
Mwigulu mimi hata aseme kibaya gani nitamsamehe tu kwa sababu najua ndio alivyo na hata ufanyeje hawezi kubadilika. Tukubali kuwa Mungu alimuumba akiwa kichwa maji basi.
Lecturer ni instructor siyo teacher plse tofautisha.Nadhani tunakuwa wavivu mno wa kujisumbua kujua mambo.