Mwigulu umedhalilisha Taaluma ya Ualimu

Mwigulu umedhalilisha Taaluma ya Ualimu

Elimu inapigwa TIGO na akina Mwigulu wa CCM kila siku, kwa nini isilegee????
 
Lecturer ni instructor siyo teacher plse tofautisha.Nadhani tunakuwa wavivu mno wa kujisumbua kujua mambo.

Mbumbumbu anaweza akajificha ila umbumbumbu wake lazima utadhihirika, mfundishe ajue tofauti ya LECTURER NA TEACHER!
 
Kambi nzima ya upuuzi yaan ya upinzani haina wazo mbadala. Mwiguli ameonesha kuwa kichwa kinafanya kazi
 
Wana jf tunaweka chuki tunapochambua hoja ya mwigulu. Hili wazo ni mhimu sana kwani amesema kuliko kusubiri walimu mpsks wamalize ndio waajiriwe ni bora kuwachukuwa wataalam ambao wapo tu hawana kazi. Lipi bora mwsnsfunzi kujisomea hesabu au kufundishwa na mhandisi. Acheni kuwaza kizamani na chuki ndani

We ndo unawaza kizamani, nani kakuambia Walimu waliofuzu masomo yao hawapo mtaani wakiranda randa ?
 
Mimi mwenyewe nilipomwona Mwigulu akisema kila mwenye shahada anaweza kuwa mwalimu nilishangaa sana. Ndo maana nchi yetu inazidi kuchechemea kila idara kwa sababu ya kuwa na watu wenye akili na mawazo kama mwigulu. Kwa kweli sikuamini macho na masikio yangu!
Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine,Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.

Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee,mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.
 
Umenena mkuu. Kwa kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni! Mwisho ndo mwigulu. Fake fake fake kabisa
Elimu inapigwa TIGO na akina Mwigulu wa CCM kila siku, kwa nini isilegee????
 
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?

Lecturer sio mwalimu bali ni mhadhiri yaani kazi yake ni kutoa mihadhara. Mwanafunzi wa primary na secondary hajifunzi kwa mihadhara bali anafundishwa na mwalimu mwenye taaluma ya ualimu.

Kwa mawazo haya ya kimagamba ya mhandisi kufundisha, lazima wanafunzi 90% wapate zero tu
 
Hivi tatizo ni shortage ya waalimu au hata wale waliopo hawapewi maslahi yao ?

Kuna kitu kinaitwa effective na efficient.., hata kama hao ma-injinia, ma-lawyer au hata madaktari hata kama wanaweza kufundisha kuliko waalimu wenyewe.., Je itakuwa efficient kwa wao kufanya kazi ambao hawakuisomea ?, Na je kuwepo kwa vyuo vya ualimu kuna manufaa gani kama yoyote yule mwenye shahada anaweza akatoa elimu ?

In short huyu jamaa leo ameongea vapour...., waste of space....
kwahiyo hao walimu waliofundishwa ualimu ndo wanaweza kuboresha elimu,eeh?.
 
Kwa mwendo huu kama hawa ndio viongozi wakuu wa chama chenye kuisimamia serikali na kuielekeza nini cha kufanya, duh kazi ipo.

Huyu ndiye Mwigulu wa ccm.
 
Hao ndiyo first class Economist wa Tanzania kwa maana nyingine ndiyo think tank wa Tanzania je shall we make it?.
 
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?

Kuna tofauti kubwa kati ya lecturer(mhadhiri) na teacher(mwalimu); mwalimu anafundisha wasiojua kabisa mf watoto wa shule ya msingi wakati mhadhiri anatoa mhadhara(to give lecture) kwa watu ambao wamepitia kwa mwalimu tayari. Kinyume chake ni matatizo.
 
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?

Lecturer ni instructor siyo teacher plse tofautisha.Nadhani tunakuwa wavivu mno wa kujisumbua kujua mambo.

We ni zaidi ya boya au kilaza, kwani lecturer ni mwalimu nae? Check na kamusi mzee. Ccm imekuleza ww na bila shaka ww ni product ya shule za kata

we mburula kweli. unafikiri mwigulu ameongelea walimu wa primary? hao wenye shahada watashindwaje kuandaa lesson plan na scheme of work?

We ni zaidi ya boya au kilaza, kwani lecturer ni mwalimu nae? Check na kamusi mzee. Ccm imekulemaza sana ww na bila shaka ww ni product ya shule za kata, vitu vingine wapinzani wanaongea ukweli mtupu. Jamani huyu jamaa atasababisha kama yale ya arusha wale wamasai waliotaka kumkabidhi kadi za ccm

Teaching and lecturing are different things.

Naamini jibu utalipata ukijua tofauti ya lecture(lecturer) na teach(teacher)

mkuu lecturer sio mwalimu.
na wanatofautiana sana.
mtu yoyote anweza akatoa lecture lakini si kila mtu anaweza kufundisha.

ina maana hujatambua kwa nini mwingine akaitwa teacher na mwingine lecture?

kwahiyo hao walimu waliofundishwa ualimu ndo wanaweza kuboresha elimu,eeh?.
kwa jina lolote mtakalo waita, mtu yeyote afundishaye katika ngazi yeyote ile ya elimu lazima awe na content competence na pedagogical competence!!huwezi kuvipata vyote hivi bila kupitia chuo cha ualimu!hata hao wanaofundisha hapo mlimani na vyuo vingine wengi wao wana competence 1 (content) na kupungukiwa pedagogical competence!tunakubali wafundishe vijana wetu kwa sababu ya upungufu wa watu wenye taaluma ya ualimu!!ndo maana katika vyuo vingine wameanzisha kozi inaitwa compulsory higher education training kwa walimu wao wote awe profesa au TA!
 
we ni zaidi ya boya au kilaza, kwani lecturer ni mwalimu nae? Check na kamusi mzee. Ccm imekuleza ww na bila shaka ww ni product ya shule za kata

kwani shule za kata zina nini! Au unataka kujishaua, we changia mada hayo mengine kama huyajui achana nayo....kumbe kina mwigulu msiojua mambo mko wengi
 
Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine,Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.

Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee,mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.

Ni mawazo haya yanayouwa taasidi zetu ya kufikiria kuwa alimradi umesoma unaweza kufanya chochote. Katika elimu tulishajaribu hili kwa kuvhukua vijana waliomaliza form vi na kuwafanya walimu. Matokeo yake wote tunayajua. Kinachonishangaza ni kuendelea kufikiria kutenda vilevile tukitarajia matokeo tofauti!
 
Back
Top Bottom