Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

kwa TB J kuna siku hatarudi kabisa kama LOWASA lazima kuna sehemu utatakiwa kukiri yote uliyoyafanya kumbuka LOWASA aliambiwa aseme yote aliyokuwa anafanya akashindwa kwa kuwa alijua DUNIA NZIMA ITASIKA akakataa na ndio mpaka leo hajarudi

acha uongo
 
Hiyo ya Nyerere na Sokoine kuishi kimaskini, sioni inahusiana vip na hii topic;Mwigulu kwa mshahara wake wa sasa wa Ubunge na Unaibu Waziri bila kutumia senti ya serikali anaweza kujilipia nauli ya kwenda na kurudi na kula na kunywa huko Nigeria na hii sio anasa, ni maisha ya kawaida sana.

Kumbuka dunia inabadilika, walivyoishi mwaka 1980 sivyo tunavyoishi leo.Na KUWA MASKINI AU KUISHI KIMASKINI WAKATI UWEZO UNAO SIO SIFA.
OK huko sawa, tukisema siasa sio fani ya wengi jukwaa hili tunaonekana tunajifanya wajuaji.

Hivi unajua ata huyo sokoine alikuwa na misimamo hipi kwenye jamii wakati wa uongozi wake na huyo ndio mtu anaetaka kufananishwa naye. Na kama angekuwa hai angelitafsiri vipi hili swala kutokana na misimamo yake.

Me out
 
Sahihisho tafadhali. Mungu hapatikani Nigeria pekee. kuna ukweli unaopindishwa hapa. wanaenda kufuata majini ya TB Joshua huo ndio ukweli.

Hahahaa haaaa
Mtachonga sana...
Mungu hapatikani Nigeria tu kila mahari anapatikana.
Ukweli utabaki palepale!tbj ni mtumishi wa . Mungu wa kweli.
 
Anatubu kwa mengi. Mabomu ya Arusha na Igunga na zile za escrow.
Hivi kwa nini watu waliokwisha kutenda uovu kumshinda shetani ndio wanaojiita warokole? Au wanajificha ili wauendeleze uovu wao?
Huyo nabii mnayekwenda kutubu kwake naye si kaua wale wa-south Africa na ana kesi?
Hata mtubu vipi hayototimia mnayonuia labda mtubu kwa jamii mliyoitendea maovu ndio Mungu atakusameheni baada ya kusamehewa na mliowatendea uovu.
 
Inasemekana TB Joshua anatumia mashetani kujipatia Pesa, watu wanakimbilia huko bila kujua watendalo. Mungu anapatikana popote si lazima uende Huko

Kumbe Inasemekana!

Kwann usifuatilie mwenyewe ujionee km ni kweli au si kweli!
 
kwa wenye imani haba ndivyo wanavyoamini.

Hakuna imani haba.
Mungu yupo popote na anapatikana popote Maadam ukimtafuta!
Kwahyo wanaweza juwa waneamua kumtafuta huko sio kosa.

Nb: level za huduma kiroho ni tofauti kutoka mtumishi 1kwenda mwingine. ..
Na sio kila mtumishi anajua kila kitu!
 
Mwigulu songa mbele shujaaaa hakuna kama wewe,kama sio wewe 2015,ni mh.lowasa na kama sio lowasa ni dr slaa hakuna mwingine zaidi ya nyie watatu.Mungu awatangulie na mtashinda.ameniii!
 
Anatubu kwa mengi. Mabomu ya Arusha na Igunga na zile za escrow.
Hivi kwa nini watu waliokwisha kutenda uovu kumshinda shetani ndio wanaojiita warokole? Au wanajificha ili wauendeleze uovu wao?
Huyo nabii mnayekwenda kutubu kwake naye si kaua wale wa-south Africa na ana kesi?
Hata mtubu vipi hayototimia mnayonuia labda mtubu kwa jamii mliyoitendea maovu ndio Mungu atakusameheni baada ya kusamehewa na mliowatendea uovu.
Hili la kwako hakuna kwenye uhakika nalo...kauaje?.
 
TB Joshua huwa anatoa hayo majini kwa kutumia JINA LA YESU, kwa hiyo huo ndio uchawi. Nakumbuka hata Yesu walisema anatoa pepo kwa BELZEBUL, yaani mkuu wa mashetani, so no surprise; in other words what you are asserting now was also claimed more than 2000 years ago.

Hahahaa haaaa
Mkuu anaelewa nn huyo.
Amezoea watumishi makanjanja wanafikiri wote!

Hapa lzm wanyooshe mikono.
Ukiwauliza watakwambia kisa naigeria makanisa mengi ni ya uongo!
Ndo huyo amekuja ku rescue ss watu wafundishwe kweli!
 
Ameenda kutabiriwa kama ataukwaa urais baada ya jk ama la,lakini aone yule mama wa Malawi sijui banda alienda mara kibao kuja uchaguzi chalii.simwoni tena yuko Scoan

Huwa unafuatilia lkn mkuu?
Unajua alipoenda aliambiwa nn?
Mungu habahatishi!
Na alipewa live hatashinda kwa taarifa tu!!
 
OK huko sawa, tukisema siasa sio fani ya wengi jukwaa hili tunaonekana tunajifanya wajuaji.

Hivi unajua ata huyo sokoine alikuwa na misimamo hipi kwenye jamii wakati wa uongozi wake na huyo ndio mtu anaetaka kufananishwa naye. Na kama angekuwa hai angelitafsiri vipi hili swala kutokana na misimamo yake.

Me out

Sijaona hiyo unayosema siasa sio fani inahusiana vip na topic hii, maana sioni hapa chochote kinachohusiana na hilo, zaidi tu inaleta taswira ya HOFU YA MUNGU ambayo ni muhimu kwa kiongozi kujiona yeye sio juu ya wote na kuwa ana wajibu wa kufanya mema kwa watu, refer "HUWEZI KUMPENDA MUNGU USIYEMUONA KAMA HUWAPENDI WATU UNAOWAONA".

Na sioni hiyo ya kufananishwa na Sokine inahusiana vip na hili, sijawahi sikia kama Sokoine alikuwa anawapangia viongozi sehemu za kwenda kuabudu?kama angefanya hivyo nadhani asingepata sifa alizopata maana angekuwa ni mtu wa ajabu sana kufanya, serikali yetu haina dini na watu wana haki kuwa na imani zao ilmuradi hawavunji sheria ya nchi.

Kingine, kila zama ina kanuni zake, ata Sokoine angekuwepo leo asingezui soko huria ambalo wakati huo halikuruhusiwa maana ata waliokuwa reference yetu, Uchina na Urusi wameruhusu, sembuse Tanzania?mazingira na wakati hubadilisha mtazamo.

Ila msingi tunaomsifia Sokoine ni UADILIFU WAKE NA UFUATILIAJI WA MASUALA YA MSINGI, japo kuna sehemu hatukubaliana na sera alizokuwa anazisimamia wakati huo.

Na naamini wanaomfananisha Mwigulu hawaamaanishi kuwa atakuwa Sokoine 100%, maana haohao wanaomfananisha hawataki turudi kwenye Tanzania ya mwaka 1980s kwa kila kitu bali wahitaji USIMAMIZI WA MAKINI ULIOJAA UADILIFU NA UNAOANGALIA MASLAHI YA NCHI NA WATU WAKE.
 
Hivi Mungu wa TB Joshua na Mungu wa Kakobe wako tofauti kiuwezo.?

Tofauti ni za wanaotumiwa!
Mungu ni Mungu. ..
Akiyoyafanya kupitia musa, elia, elisha , Ibrahim etc
Ndo hyo hyo bt level za kiroho ni tofauti kutokana na huduma ya mtumishi 1 na mwingine
 
Hivi kwa nini TB anapenda kuombea wachungaji wenzake wakalipuka mapepo hadharani tena wakatoa na shuhuda!!Mbona hafanyi hivyo kwa mafisadi na wamwaga damu na watengenezaji wa ugaidi feki kama Lowasa na Mwigulu?Nina mashaka makubwa sana na TB
 
Hao wanasiasa wanakimbilia kutubu Naija badala ya kutubu kwanza kwa wananchi!!Hata neno linasema,"Kabla hujatoa sadaka yako,patana kwanza na mwenzio..",sasa wanadhan kutubu kwa Mungu ukamwacha ulomkosea ni suluhisho!!na urahisi haupatikani ,kwa Joshua,bali kwa kura!!

Bora ww uneongea
Issue hapa ni kutubu!

Kwenda scoan kuabudu sio dhambi!
Ni maamuzi ya mtu.
Mbona mtu anaishi kitunda anaamua kwenda kuabudu mbezi!
Shida ipo wapi?
 
Mungu kamwacha Tanzania,Nigeria kafata nini?
Ana weweseka hujuma alizofanyia watu wasio na hatia,familia zao zinateseka,yeye anar raha gani?
Damu za wanyonge zina walilia.Hakika "ukweli utadhihiri" MUNGU HADANGANYIKI WALA HADHIHAKIWI
 
urais unatafutwa. sasa Joshua atawachanganya na Lowasa.

halafu hii kasumba ya kwenda nigeria ni ujinga tu maana Mungu ni omnipotent ya nn kuamini ya Nigeria kama sio uchawi?

Awachanganye kivipi?
Tbj hajawahi kumtokea kiongozi yyt wa Tz unabii wa urais!

Mungu yupo popote unapomtafuta mkuu...
So kwenda huko ni matakwa yake yy kwani lzm asali tz?
 
Jamaa yule eti ni mtalaam wa kusema fulani atakua rais,sasa ningependa abashiri kwamba hata mwgl atashnda urais ili tuone kama ngumi hazjapgw na mtangulizi wa kubashiriwa, mtaniambia!!!
 
Back
Top Bottom