Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

ndugu yangu,wacha majungu,hivi kwenda kanisani ni uchawi?ulitaka aende wapi kwa waganga? maana inaonekana tbj anakukera sana,yawezekana unapepo mchafu,ndiye anakusumbua,nchi ihi imekua haiendelei kwa sababu viongozi wengi hawautafuti uso wa MUNGU sasa kama mwigulu kaamua kuutafuta uso wa BWANA ubaya upo wapi?hembu mtu anapofanya jambo zuri tumpongeze kwalo,kwani MUNGU uwatafuta viongozi pia aibariki nchi yao,

Huko sawa na kwa mganga wa kienyeji.
Kanisa ni RC Anglikan Luthren na Sabato
Wengine ni matapeli tu.
Na ukiona mtu anaamini mambo ya mapepo basi akili yake kaiweka rehani.
 
Naangalia Emmanuel TV hapa naona kuna bendera kama kumi hivi za Tanzania akiwemo Mwigulu Nchemba. Ni jambo la kutia faraja kuona watu wanamkimbilia Mungu!!

kina kakobe mtume mwingira, mzee wa upako, FAZA gwajima woote hawa hawafai ndio kaenda kwa wasanii NIGERIA. hana lolote wala hakufata uokozi huko amefata ushirikina tu. 2015 hiyoooooo!!! tuwasubiri woote wanaopitia njia za MCHEPUKO. tuwarudishe NJIA KUU.
 
Toka Mwigulu aanze kwenda kwa TB Joshua, hatusikii tena milipuko ya mabomu kwenye mikutano ya CDM. Tumpe muda tuone kwenye uchaguzi mkuu mwakani kama hatamrudia ibirisi wake wa kutoa roho za watu.
 
Huko sawa na kwa mganga wa kienyeji.
Kanisa ni RC Anglikan Luthren na Sabato
Wengine ni matapeli tu.
Na ukiona mtu anaamini mambo ya mapepo basi akili yake kaiweka rehani.

Dhambi ya ubaguzi inakutafuna ndugu, usipojirekebisha itakumaliza.
 
Wanajamvi Salaam,

Katika Muda Na Saa Hii Mh. Mwigulu Yuko Katika Kanisa La Nabii TB Joshua Lagos Nigeria Akiabudu.

Katika Siku za Karibuni Mwenendo Na Tabia Za Mbunge Huyu Wa Iramba Na Naibu Wa Fedha Zimebadilika. Amekuwa Mstaarabu Katika Kauli Zake. Je, Ameamua Kuokoka Na Kubadilika Kweli Au Kuna jingine?

Napenda Sana Aendelee Kuwa Katika Njia Hii.

Hata Magufuli na familia yake walisali kwa TB Joshua na wakiristu waumini wa kanisa Katoliki.

3.png

IMG-20150629-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom