Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Ungetumia kichwa cha juu ungeelewa mantiki ya swali, ila kwa kuwa umetumia kichwa cha chini ndio maana umekurupuka hivi.
sina muda wa kushindana na mfu kama wewe
Ungetumia kichwa cha juu ungeelewa mantiki ya swali, ila kwa kuwa umetumia kichwa cha chini ndio maana umekurupuka hivi.
Ni akili ya kushikiwa tu hii, kama mungu anapatikana Nigeria basi wakristo wote twendeni tukaabudu Nigeria.
Idiot Migulu.
Assume angekuwa hana uwezo wa kwenda Nigeria angeenda kuabudu wapi?
Hii ni kutapatapa kwa kutojiamini na aliyoyafanya so nafsi inamshitaki.
Hata kesho akiambiwa Syria kuna mhubiri makini utasikia kaenda.
Hajiamini huyu.
alifunuliwa baada ya tukio kutokea nina wasi wasi mpaka Lowasa anaendaga sana huko naye anataka uraisi
Heri ya huyu aliyekwenda kanisani kuliko wale waliokwenda kugonga kikombe cha babu pande za Samunge Loliondo e.g Steven Wassira, Willium Lukuvi, John Magufuli, Jakaya Kikwete etl.
Acha kumfananisha Mungu anavotenda kazi na uteuzi wa kikwete!!plz take a break!!Hapana hawapo tofauti, Mungu anawatumia watu kwa namna tofauti na kwa viwango tofauti. Labda nikuulize swali hivi Kikwete anapoteua watu wa kumsaidia kazi huwa wote wanakuwa mawaziri wakuu?
Mungu anatumikiwa Nigeria tu?Sioni tatizo kwa mwigulu kwenda SCOAN...kwani maisha ya mwigulu ni siasa tu hana mambo mengine ...hatakiwi kumtumikia mungu wake anaemuamini??????
This is precisely the point ya watu wengi kwa sababu anayo hiyo hela, sasa anawaambia nini waumini wengine ndani ya Tanzania.Katika dunia ya utandawazi unazungumzia umbali?kama huna pesa kwako Nigeria ni mbali. Lakini kwa mtu asiye na shida na pesa sio Nigeria tu bali ata UChina ni karibu.
Hivi hujawahi sikia watu wanatoka Tanzania kwenda kuangalia mpira Uhispania?kwani hakuna Yanga na Simba Tanzania?wapo lakini anataka kwenda kuwaona Madrid.
Kushupalia hilo ni ulimbukeni tu, shida zako sio za wenzake.Kula na tembea kulingana na uwezo wako lakini usishupalie mfuko wa mwenzako.
Kwa kutomfuata mungu mwenye uwezo mkubwa pale Nigeria ndiyo nimekuwa mjinga au Mimi kukosa nauli na sadaka ndiyo nimekuwa mjinga?
Asante sana kwa ujinga wangu heri wewe uliye na mungu mwenye uwezo akakuondelea ujinga ukakupa uwezo wa kwenda huko.
Mimi nasali hapahapa coz mungu wangu kanipa ujinga wa kusali hapa nilipo.
Wewe ndio ulisikia baada ya tukio kutokea
Una uhakika gani kuwa Mungu unaemuamin wewe ndio mungu wa mwigulu na tbjoshua?????.Mungu anatumikiwa Nigeria tu?
Huyu amekwenda kwa waganga wa kienyeji kutafuta urais, duh.
Wajinga Ndiyo Waliwao.