nimekuuliza wewe mtetezi MWIGULU aliambia watu wasiende kwenye mkutano wa mwisho wa chadema alikuwa anamaanisha nini hilo ndio jibu nalolitaka, acha porojo mliambiwa muunde tume ya kijaji mbona mlikataa? ivi umesahau KOVA alituletea mkenya kuwa ndio alimteka ULIMBOKA na sasa yuko huru, hapa hakuna watoto wakudanganya, uyo unaemsema aliuawa ivi yale maelezo ya polisi kuwa alitaka kutoroka ndio akapigwa risasi wewe yalikuingia akilini ivi gaidi aliyesomea karate kama polisi walivyosema anaweza kusafirishwa kwa style ile bila tahadhari? bila hata pingu mkononi? nimekuambia hapa sio chekechea
Hivi uliwahi sikia majaji wa Kenya wameenda kupambana na Alshabab?uliwahi sikia Majaji wa Nigeria wanapambana na Boko Haramu?uliwahi sikia Majaji wa Afganistan wanapambana na Taleban?mbona unaleta akili fupi hivi ndugu yangu?
Sasa kwa fikra hizi utawafundisha vip wanao kama nawe UNAKARIRI TU MIAKA NENDA MIAKA RUDI ATA BAADA YA KILA KITU KUWA WAZI?akili za kuambiwa changanya na zako.
Kama ni mtu mzima nitakushangaa sana maaana HUJUI NA HUJUI KUWA HUJUI.
Tuvishukuru sana vyombo vya usalama vya Tanzania kwa kulithibiti hilo kundi kabla halijakomaa na kuwa kama Alshabab na Boko Haramu, maana lingekomaa nchi tungekimbia hapa.