Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Sahihisho tafadhali. Mungu hapatikani Nigeria pekee. kuna ukweli unaopindishwa hapa. wanaenda kufuata majini ya TB Joshua huo ndio ukweli.

TB Joshua huwa anatoa hayo majini kwa kutumia JINA LA YESU, kwa hiyo huo ndio uchawi. Nakumbuka hata Yesu walisema anatoa pepo kwa BELZEBUL, yaani mkuu wa mashetani, so no surprise; in other words what you are asserting now was also claimed more than 2000 years ago.
 
TB Joshua huwa anatoa hayo majini kwa kutumia JINA LA YESU, kwa hiyo huo ndio uchawi. Nakumbuka hata Yesu walisema anatoa pepo kwa BELZEBUL, yaani mkuu wa mashetani, so no surprise; in other words what you are asserting now was also claimed more than 2000 years ago.

Mtadanganyana sana lakini tapeli Joshua anapeta tu kwa raha zake...wajinga ndio waliwao ati!
 
A statement of a very frustrated personality and a demoniac too!!

Frustrated person ni Mwigulu na wewe.
Huwe zi kuniambia unatoka Tanzania unaenda Nigeria kuombewa/kuomba kwa mungu it means hapa hakuna kanisa au huamini kama mungu yupo hapa?

Nyie ndiyo wale mnaojazana kwenye makanisa mbao ya kina Jo Davis, Mwingira na kina Mzee wa upako kuanzia asubuhi mpaka asubuhi mkidai nyie ndiyo mnasali.

Wajinga ndiyo waliwao, panda ndege uende Nigeria.
 
kumbe wahubiri Wa naijeria tu ndio watumishi Wa mungu kweli eeeh.
yaani kashindwa kuambudu na kumuomba mungu wake hapa hapa bongo mpaka amufuate naijeria..
wanafuata uchawi hao, uzuri ni kwamba IPO siku kila kitu kitakuja backfire tu
 
Mtadanganyana sana lakini tapeli Joshua anapeta tu kwa raha zake...wajinga ndio waliwao ati!

The good thing is, since you are human being you will come to know the truth when it is too late. As for now mungu wa dunia hii (shetani) amepofusha fikra zako wewe usiyeamini isikuzukie nuru ya injili ya wokovu. 2 Cor 4:3
 
Mungu anapatikana Nigeria?

Ni akili ya kushikiwa tu hii, kama mungu anapatikana Nigeria basi wakristo wote twendeni tukaabudu Nigeria.
Idiot Migulu.
Assume angekuwa hana uwezo wa kwenda Nigeria angeenda kuabudu wapi?

Hii ni kutapatapa kwa kutojiamini na aliyoyafanya so nafsi inamshitaki.

Hata kesho akiambiwa Syria kuna mhubiri makini utasikia kaenda.
Hajiamini huyu.
 
Frustrated person ni Mwigulu na wewe.
Huwe zi kuniambia unatoka Tanzania unaenda Nigeria kuombewa/kuomba kwa mungu it means hapa hakuna kanisa au huamini kama mungu yupo hapa?

Nyie ndiyo wale mnaojazana kwenye makanisa mbao ya kina Jo Davis, Mwingira na kina Mzee wa upako kuanzia asubuhi mpaka asubuhi mkidai nyie ndiyo mnasali.

Wajinga ndiyo waliwao, panda ndege uende Nigeria.

Mwigulu amehappen kuwa Nigeria siku ya Jumapili na ameamua kuabudu SCOAN, au ulitaka apande ndege awahi ibada ya hapa Dar. After all there is no sin to go to worship anywhere in the world as long as you are able to do so.
 
Ni akili ya kushikiwa tu hii, kama mungu anapatikana Nigeria basi wakristo wote twendeni tukaabudu Nigeria.
Idiot Migulu.
Assume angekuwa hana uwezo wa kwenda Nigeria angeenda kuabudu wapi?

Hii ni kutapatapa kwa kutojiamini na aliyoyafanya so nafsi inamshitaki.

Hata kesho akiambiwa Syria kuna mhubiri makini utasikia kaenda.
Hajiamini huyu.

Wala sio jambo jipya kufanyika hapa duniani, kuna wakati jemadari wa majeshi ya Shamu alikuwa anaugua ukoma akashauriwa aende Israeli kumuona mtumishi wa Mungu Elisha ili apone and he did so. Akachukua farasi na ujumbe mkubwa sana akasafiri kilometers nyingi mpaka Israel.
 
Mwigulu amehappen kuwa Nigeria siku ya Jumapili na ameamua kuabudu SCOAN, au ulitaka apande ndege awahi ibada ya hapa Dar. After all there is no sin to go to worship anywhere in the world as long as you are able to do so.

Asantee kwa taarifa, nilikuwa sijajua kama yuko huko kikazi
 
Ameenda kutabiriwa kama ataukwaa urais baada ya jk ama la,lakini aone yule mama wa Malawi sijui banda alienda mara kibao kuja uchaguzi chalii.simwoni tena yuko Scoan
 
Wala sio jambo jipya kufanyika hapa duniani, kuna wakati jemadari wa majeshi ya Shamu alikuwa anaugua ukoma akashauriwa aende Israeli kumuona mtumishi wa Mungu Elisha ili apone and he did so. Akachukua farasi na ujumbe mkubwa sana akasafiri kilometers nyingi mpaka Israel.

Oook, ushauri wako Mwigulu ameupokea akakwea pipa akawahi kwa TB Joshua, na Mimi unanishauri nipande punda au merikebu niende wapi?
 
Hivi Mungu wa TB Joshua na Mungu wa Kakobe wako tofauti kiuwezo.?
 
Back
Top Bottom