Anajifanya kumuiga lowasa. Huyu jamaa ana ndoto za ajabu kweli.. Anaita urais eti? Kha!!!
Inasemekana TB Joshua anatumia mashetani kujipatia Pesa, watu wanakimbilia huko bila kujua watendalo. Mungu anapatikana popote si lazima uende Huko
Kaenda kusaka uwaziri kamili maana mara ya kwanza upako ulimpa unaibu chezea damu ya kristo atanyoooka tu!
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba ameonekana katika Television ya Emmauel TV akiwa miongoni mwa watanzania wachache walioabudu Leo tarehe 28.12.2014 katika Kanisa la Nabii T.B Joshua (Synagogue Church of All Nations -SCOAN) Nigeria. Nchemba ameonekana akiwa amevalia mavazi aliyozoea kwenye ulingo wa siasa ya Skafu ya Bendera ya Tanzania na kifunika shingo chenye rangi za bendera hiyo.
Hakika Kama ndivyo; atakuwa Ni Miongoni mwa viongozi wachache wa Taifa hili ambao wamepata kuhudhuria ibada katika kanisa Hilo ambalo linaaminika Duniani kwa Miujiza.
Emmanuel TV - "Changing Lives, Changing Nations, Changing the World!" | Founded by T.B. Joshua
JK ameshasema pesa za escrow siyo za umma hiyo kodi ataitoa wapi??Tarehe 31/12 aliyosema kuwa hela zote ziwe zimekatiwa kodi, inakaribia.
Kaenda kuchukua majini ya kichawi zaidi ili aweze kuuwa watu bila kuonekana.
Makanisa mengi ya Nigeria ni uchawi na ushetani tu, hamna lolote.
akili za kuambiwa chanyanga na za mumeo
Inasemekana TB Joshua anatumia mashetani kujipatia Pesa, watu wanakimbilia huko bila kujua watendalo. Mungu anapatikana popote si lazima uende Huko
Mungu anapatikana Nigeria?