Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Hivi hawa viongozi wanamwonaje huyo tb Joshua?utakuta raia wa kawaida wamejazana nje inapita hata mwezi ishu kumwona,ila hapo mbele utakuta wamejazana watu maarufu
 
Frustrated person ni Mwigulu na wewe.
Huwe zi kuniambia unatoka Tanzania unaenda Nigeria kuombewa/kuomba kwa mungu it means hapa hakuna kanisa au huamini kama mungu yupo hapa?

Nyie ndiyo wale mnaojazana kwenye makanisa mbao ya kina Jo Davis, Mwingira na kina Mzee wa upako kuanzia asubuhi mpaka asubuhi mkidai nyie ndiyo mnasali.

Wajinga ndiyo waliwao, panda ndege uende Nigeria.

Mungu yupo popote na kwa yeyote yet nawe uwa unatoka nyumbani kwako na kwenda sehemu nyingine nje ya kwako kusali na wakati mwingine unaomba kwa kupitia watu tena.

Hapo ndipo ninaposhindwa kuelewa, how mtu aseme maneno kama yako na wakati huohuo anafanya hivyohivyo?

Unless uwe uwa unasali nyumbani kwako au husali kabisa kama akina Kiranga vinginevyo nawe ni MJINGA kama unaowaona WAJINGA.
 
TB joshua alishindwa kutabiri tu jengo lake kudondoka sembesu uraisi 2015? hawa hawana tofauti na waganga wa kienyeji wapiga ramli.

Usiongee usilolijua.....uliambiwa hakufunuliwa???
 
Gaidi muuaji mwizi wa jina hawezi kuwa rahisi kiasi hicho..

Urais ni rahisi siku hiz eeh
 
Sisi watanzania ni mazuzu sana! Sijui hata tunasifia nini hapa! Watu wanafananisha kuonekana kanisani na utakatifu! Ni wehu huu nadhani! Ngoja ninyamaze akili fupi zikija hapa mtaona tu!
 
asante kwa kueleza ukweli! atakuwa chaguo la mungu wenu. Mungu muumba wa mbingu na nchi siku zote huandikwa kwa herufi kubwa. huyo wenu ni yule yule aliesemwa na kilani. mungu wa dunia (shetani)
 
Usiongee usilolijua.....uliambiwa hakufunuliwa???

alifunuliwa baada ya tukio kutokea nina wasi wasi mpaka Lowasa anaendaga sana huko naye anataka uraisi
 
Mungu yupo popote na kwa yeyote yet nawe uwa unatoka nyumbani kwako na kwenda sehemu nyingine nje ya kwako kusali na wakati mwingine unaomba kwa kupitia watu tena wengine, hapo ndipo ninaposhindwa kuelewa, how mtu aseme maneno kama yako na wakati huohuo anafanya vingine?

Unless uwe uwa unasali nyumbani kwako au husali kabisa kama akina Kiranga vinginevyo nawe ni MJINGA kama unaowaona WAJINGA.

Kwa kutomfuata mungu mwenye uwezo mkubwa pale Nigeria ndiyo nimekuwa mjinga au Mimi kukosa nauli na sadaka ndiyo nimekuwa mjinga?

Asante sana kwa ujinga wangu heri wewe uliye na mungu mwenye uwezo akakuondelea ujinga ukakupa uwezo wa kwenda huko.

Mimi nasali hapahapa coz mungu wangu kanipa ujinga wa kusali hapa nilipo.
 
Sioni tatizo kwa mwigulu kwenda SCOAN...kwani maisha ya mwigulu ni siasa tu hana mambo mengine ...hatakiwi kumtumikia mungu wake anaemuamini??????
 
Back
Top Bottom