Hivi Mungu wa TB Joshua na Mungu wa Kakobe wako tofauti kiuwezo.?
Wako tofauti sana kiuwezo ndiyo maana kuna wanaodiriki kupanda ndege na kumfuata Mungu mwenye uwezo wa hali ya juu huko Nigeria.
Kama huna nauli sahau kupata upako wa mungu mwenye uwezo.
Sarakasi.com