Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Pole...amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumwacha Bwana
wewe ndo umelaaniwa kwa kukashfu watu watumishi wa Mungu shetani mkubwa wewe
Pole...amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumwacha Bwana
Hayo mapepo ninayaamuru yakutoke mara moja uachwe huru mtoto wa Mungu hupaswi kumtumikia shetani kupitia wakala wake joshuawewe ndo umelaaniwa kwa kukashfu watu watumishi wa Mungu shetani mkubwa wewe
.........Aha ha ha ha!! Mwigulu kaanza kumwaga mboga, Mkuya kaamua kumwaga ugali lol!!Anataka uwaziri wa fedha? Wakati Mkuya nae kaenda kujaza mapepo Tanga
Huyo Tb Joshua mwenyewe hakuweza kutabiri nini kingetokea kuhusu jumba lake lililoporomoka na kuuwa makumi ya watu. Ni viini macho tu hivi watu wachache sana wanaelewa wengi ni washabiki wa mambo wasiyoyajua
halafu na matangazo juu kama kampeni za mbunge,vijana wakaandalia kutoa taarifa humuWananichanganya!
Hivi nigeria kuna mungu gani?
HONGERA Mwigulu kwa kuchagua fungu jema.Umeenda mahali sahihi kwa ajili ya roho yako
Kwani Mungu hana uwezo wa kufika Nigeria?kama hana kizuizi cha kufika huko kwanini asipatikane, anapatika.
Kaenda kuchukua majini ya kichawi zaidi ili aweze kuuwa watu bila kuonekana.
Makanisa mengi ya Nigeria ni uchawi na ushetani tu, hamna lolote.
Kaenda kusaka uwaziri kamili maana mara ya kwanza upako ulimpa unaibu chezea damu ya kristo atanyoooka tu!

hata kichaa huona watu wote ni vichaa isipokuwa yeye wakati yeye ndo kichaa wewe unataka kuombewa utakuwa na mapepoHayo mapepo ninayaamuru yakutoke mara moja uachwe huru mtoto wa Mungu hupaswi kumtumikia shetani kupitia wakala wake joshua
una mawazo mgando kama akili yakoMweleze namna Chadema walivojilipua manake hapo ndo mbinguni si unao ushahidi?