Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Huyu ndo rais wa 2015. Atibuka ghafla na MUNGU atakuwa upande Wake na kushinda urais. Ni kijana atakayeleta mabadiliko makubwa sana katika hii nchi
 
hata kichaa huona watu wote ni vichaa isipokuwa yeye wakati yeye ndo kichaa wewe unataka kuombewa utakuwa na mapepo

Kweli nyani haoni kundule...badala ya kumtumikia Mungu ninyi mnatumikia mwanadamu (Joshua) kama sio kutafuta laana ni nini? acha joshua na matapeli wengine wajilie vya wajinga kama nyie
 
Kweli nyani haoni kundule...badala ya kumtumikia Mungu ninyi mnatumikia mwanadamu (Joshua) kama sio kutafuta laana ni nini? acha joshua na matapeli wengine wajilie vya wajinga kama nyie
sina muda wa kushindana na shetani kama wewe
 
sina muda wa kushindana na shetani kama wewe
Sitaacha kuwaelimisha waaathirika wa matapeli wanaotumia jina la dini kama tb joshua. mmoja wapo wa waathirika hao ni wewe uko "brainwashed" hata hujitambui.
 
Huyu ndo rais wa 2015. Atibuka ghafla na MUNGU atakuwa upande Wake na kushinda urais. Ni kijana atakayeleta mabadiliko makubwa sana katika hii nchi

Mabadiliko gani kaleta mbona leo kama juzi? Mhe. Mwigulu Nchemba hawezi kubalika mpaka atubu zangu alizoeneza kuhusu wanasiasa wenzake hasa vyama vya upinzani.
 
Sitaacha kuwaelimisha waaathirika wa matapeli wanaotumia jina la dini kama tb joshua. mmoja wapo wa waathirika hao ni wewe uko "brainwashed" hata hujitambui.
sijakusudia kutukana leo
 
huyu ndie naibu waziri wa fedha na uchumi. nchii hii ni vigumu kuendelea kama ma ministers wana kuwa wafuasi wa kuabudu uchawi na misukule.
kuwa na waziri anae amini kutibiwa ukimwi kwa uchawi
au waziri anaemini kutibiwa cancer kwa uchawi
hakika Tanzania ni hasara tupu. Kikwete mfukuze huyu hawezi kuwa na mawazo na weledi kuongoza wizara hii.
hatuwezi kuwa na waziri anaeamini uchawi na kutoa mapepo dunia hii ya sayansi ...mfute kazi haraka
 
Wanajamvi Salaam,

Katika Muda Na Saa Hii Mh. Mwigulu Yuko Katika Kanisa La Nabii TB Joshua Lagos Nigeria Akiabudu.

Katika Siku za Karibuni Mwenendo Na Tabia Za Mbunge Huyu Wa Iramba Na Naibu Wa Fedha Zimebadilika. Amekuwa Mstaarabu Katika Kauli Zake. Je, Ameamua Kuokoka Na Kubadilika Kweli Au Kuna jingine?

Napenda Sana Aendelee Kuwa Katika Njia Hii.

HILI SUALA la MUNGU KUWASAMEHE WAKOSEFU LIANGALIWE UPYA , KWA KITENDO AMBACHO MWIGULU AMEMTENDEA LWAKATARE NITASHANGAA SANA AKISAMEHEWA , WATU WA DINI MTUSAIDIE KUFIKISHA MAREKEBISHO HAYA KWA MUNGU .
 
huyu ndie naibu waziri wa fedha na uchumi. nchii hii ni vigumu kuendelea kama ma ministers wana kuwa wafuasi wa kuabudu uchawi na misukule.
kuwa na waziri anae amini kutibiwa ukimwi kwa uchawi
au waziri anaemini kutibiwa cancer kwa uchawi
hakika Tanzania ni hasara tupu. Kikwete mfukuze huyu hawezi kuwa na mawazo na weledi kuongoza wizara hii.
hatuwezi kuwa na waziri anaeamini uchawi na kutoa mapepo dunia hii ya sayansi ...mfute kazi haraka

Kuamini wokovu na uponyaji kwa jina la yesu ni jambo binafsi, ILA SIKU HAYO YA SAYANSI YAKIBUMA KARIBU KWA YESU UPATE TULIZO NA AMANI KUU NA YA KWELI
 
huyu ndie naibu waziri wa fedha na uchumi. nchii hii ni vigumu kuendelea kama ma ministers wana kuwa wafuasi wa kuabudu uchawi na misukule.
kuwa na waziri anae amini kutibiwa ukimwi kwa uchawi
au waziri anaemini kutibiwa cancer kwa uchawi
hakika Tanzania ni hasara tupu. Kikwete mfukuze huyu hawezi kuwa na mawazo na weledi kuongoza wizara hii.
hatuwezi kuwa na waziri anaeamini uchawi na kutoa mapepo dunia hii ya sayansi ...mfute kazi haraka


ndugu yangu,wacha majungu,hivi kwenda kanisani ni uchawi?ulitaka aende wapi kwa waganga? maana inaonekana tbj anakukera sana,yawezekana unapepo mchafu,ndiye anakusumbua,nchi ihi imekua haiendelei kwa sababu viongozi wengi hawautafuti uso wa MUNGU sasa kama mwigulu kaamua kuutafuta uso wa BWANA ubaya upo wapi?hembu mtu anapofanya jambo zuri tumpongeze kwalo,kwani MUNGU uwatafuta viongozi pia aibariki nchi yao,
 
Hawa manabii wa siku hizi ndio chanzo cha vita vya kidini na kiongozi yeyote anayewaamini hajiamini na huyo ni mtu hatari na aogopwe kama ukoma.
 
Kama wewe ni mkristu dumu katika imani na madhehebu ulikobatizwa kwani hakuna Yesu mwingine huko Nigeria. Kama ni kufa hata huyo tbj hana uwezo Wa kukizuia na kumwamini ni dalili ya imani haba kwa Mwenyezi Mungu
 
naangalia emmanuel tv hapa naona kuna bendera kama kumi hivi za tanzania akiwemo mwigulu nchemba. Ni jambo la kutia faraja kuona watu wanamkimbilia mungu!!

tb joshua kama mwakipande vile. Tofauti yeye anaganga kwa jina la yesu. Hivi kutambiria kuwa rais imeandikwa wapi? Sidhani kama yesu aliwaagiza mitume wake wawatabirie urais watu? Hapo ndo ujinga wa watanzania unapotamalaki
 
Back
Top Bottom