Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

TBJoshua siyo mtumishi wa Mungu. Ni mtu anayelipwa kama Shehe Yahaya kufanya spining za politics ili kuwaandaa kisaikolojia watu kama nyinyi ambao hata kusoma biblia kmekuwa shida. Umeona wapi Yesu akishirikiana na makuhani na manabii wa uongo? soma Yohana 10 yote ujue maana ya mtumishi wa Mungu. Huyu TB Joahua yuko busy kutabiri viongozi qanaokuja kwa kitumia taarifa ya vyombo vya usalama vya nchi husika. na amini nakuambia, hawezi toa utabiri wa TZ kwa sasa mpaka ajirishe jinsi serikali ilivyojiandaa kuiba kura na aone ni scientifically possible. vinginevyo anauchuna! TB Joahua ni tapeli la kutupwa na kama ananguvu za kinabii anilaani mie tuone!

kaku tapeli nini mkuu? yeye haku laani hila maneno yako ndio yanakulaani ndugu,
 
Mwigulu sasa naona umekuwa kiroho, Mungu akubariki kwa kwenda kwa Nabii wa Mungu Tb Joshua, Hakika Tb Joshua ndiyo nabii pekee mwenye kipawa cha kimungu katika nyakati hizi za mwisho, hivyo sina shaka kupitia mtumishi huyu utabarikiwa na kubadilishwa moyo kwa utukufu wa Mungu wa Israel.
 
Naangalia Emmanuel TV hapa naona kuna bendera kama kumi hivi za Tanzania akiwemo Mwigulu Nchemba. Ni jambo la kutia faraja kuona watu wanamkimbilia Mungu!!

Sidhani kama kwenda Nigeria kusali kwa Mwigulu ni kumkimbilia Mungu. Yawezekana amekwenda kwa hela zake binafsi sawa lakini hii ni mara ya pili na sioni connection yoyote na mambo ya kimungu kama mtu ukiangalia jambo hili kwa macho ya rohoni. Infact angekuwa mtu wa Yesu kweli angesali hapa hapa nyumbani kwani Yesu yupo kila mahali na angekuwa na moyo wa huruma kwa maskini wa nchi hii kwa kuwagawia mamilioni anayotumia kupanda ndege kila wakati kwenda Nigeria.

Mwigulu sasa ameridhika baada ya kupata kile alichokuwa akikitafuta muda mrefu nacho ni uongozi (uwaziri na sasa uwaziri kamili). Haya yanamfanya asipige makelele ya kijinga kama awali.

Pia angalia kwanini anahusudu uongozi namna hii, unafikiri ni ili awatumikie watanzania au maslahi binafsi zaidi ndio yanayowasukuma wanasiasa wetu?

Mwisho huyo bwana wa SCOAN watu wengi katika upeo wao hawamjui vizuri na siendelei zaidi kusema manake hatutaafikiana kamwe

MWISHO NI KWAMBA WAKATI MWINGINE NI KIINI MACHO TU KUMBE MTU KAENDA NIGERIA KWA WAGANGA WA KULE
 
Tb joshua akisema aongee utabiri na madhambi ya huyo jamaa mtazima tv zenu, ana dhambi ya mauaji huyu

Huyo Tb Joshua mwenyewe hakuweza kutabiri nini kingetokea kuhusu jumba lake lililoporomoka na kuuwa makumi ya watu. Ni viini macho tu hivi watu wachache sana wanaelewa wengi ni washabiki wa mambo wasiyoyajua
 
Heri ya huyu aliyekwenda kanisani kuliko wale waliokwenda kugonga kikombe cha babu pande za Samunge Loliondo e.g Steven Wassira, Willium Lukuvi, John Magufuli, Jakaya Kikwete etl.

Kwenye makanisa mengine ni kama kwa waganga tu au hata mbaya zaidi
 
Wasio amini sasa wanaamini....wengi zaidi wataamini 2015......utatamani maneno yako machafu kuhusu TBJ yafutike hapa jamii forum....Pongezi kwa mwigulu our next PM
 
TBJoshua siyo mtumishi wa Mungu. Ni mtu anayelipwa kama Shehe Yahaya kufanya spining za politics ili kuwaandaa kisaikolojia watu kama nyinyi ambao hata kusoma biblia kmekuwa shida. Umeona wapi Yesu akishirikiana na makuhani na manabii wa uongo? soma Yohana 10 yote ujue maana ya mtumishi wa Mungu. Huyu TB Joahua yuko busy kutabiri viongozi qanaokuja kwa kitumia taarifa ya vyombo vya usalama vya nchi husika. na amini nakuambia, hawezi toa utabiri wa TZ kwa sasa mpaka ajirishe jinsi serikali ilivyojiandaa kuiba kura na aone ni scientifically possible. vinginevyo anauchuna! TB Joahua ni tapeli la kutupwa na kama ananguvu za kinabii anilaani mie tuone!

Ama kweli wewe ni nyumbu as your name suggests.
Maana hao wanyama huwa wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
 
hamuamini mtu anapobadilika!! suala ni kuona uelekeo yake!!
Japo siamini hili ila yawezekana kweli kuzaliwa mtanzania ni laana! ni unafiki gani huu tunaleta hata mbele ya Mungu? Mungu si binamu au shemeji yenu! tumeshindwa siasa tunataka kuhamia kanisani?

Kipimo cha kujua kama kweli Mwigulu ameokoka ni kimoja tu! Mara atakaporudi anapaswa kueleza waziwazi mambo yote aliyoyafanya kama ushuhuda, pili anapaswa kuachana na siasa kabisa hivyo hata kutangaza kuachana na uwaziri. Hii ni kwa sababu siasa za tanzania hasa za CCM ni uchafu, ushetani, unyamama, unafiki, kama hayo yote hutayafanya mojakwamoja basi unaweza kusaidia, kuafiki, kukubaliana.

kumbuka kuna watu kama alivyo shetani toka alipoumbwa alikuwa shetani pamoja na uzuri wake, hivyo hivyo baadhi ya wanadamu wameumbwa mashetani toka tumboni mwa mama zao. Mfano Yuda Iskaliote aliumbwa toka tumboni mwa mama yake na ushetani wa kumsaliti yesu."
 
Heri ya huyu aliyekwenda kanisani kuliko wale waliokwenda kugonga kikombe cha babu pande za Samunge Loliondo e.g Steven Wassira, Willium Lukuvi, John Magufuli, Jakaya Kikwete etl.
Bila kumtaja Wassira Siku yako haipiti.
 
Hivi MUNGU yupo Nigeria tu?Bongo hayupo?Tuna kazi kweli kweli.
 
Nilihitaji jibu toka kwa niliyemwuliza. I hope it wasn't you!. Alright?

zilishalipia kodi ndo maana JK amesema zile pesa siyo za umma bali IPPTL mimi nilishangaa raisi kupotosha ukweli na kulinda wezi wenzake wa ccm huyu SETH ana undugu na JK?
 
Kwenye makanisa mengine ni kama kwa waganga tu au hata mbaya zaidi

makanisa gani labda huko miskitini kwenu ndo kwa waganga wa kienyeji ndo majini yanapatikana huko
 
Huyo Tb Joshua mwenyewe hakuweza kutabiri nini kingetokea kuhusu jumba lake lililoporomoka na kuuwa makumi ya watu. Ni viini macho tu hivi watu wachache sana wanaelewa wengi ni washabiki wa mambo wasiyoyajua

una mawazo mgando kama akili yako yule ni nabii wa Mungu.
 
Back
Top Bottom