Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

Mwigulu Ndani Ya SCOAN Leo 28.12.14

naangalia emmanuel tv hapa naona kuna bendera kama kumi hivi za tanzania akiwemo mwigulu nchemba. Ni jambo la kutia faraja kuona watu wanamkimbilia mungu!!

mwingine ni ashumpta mshama,mbunge wa jimbo la nkenge,kule bukoba,kuusu ndg.mwigulu ni kweli kwa sasa kama kampokea.bwana yesu maana hata tabia zake zimebadilika sana,amekua mtu wa hekima hata kimaongezi,kweli yesu ni mzuri sana,nampa hongera sana ndg mwigulu kwa kuamua kumrudia mungu,kwani pasipo yeye sisi hatuwezi chochote {yoh 15:5}
 
Huyu nae anautafuta urais mpaka nigeria.mungu tusaidie hii nchi wenye tamaa ni wengi sana
 
kaenda kuchukua majini ya kichawi zaidi ili aweze kuuwa watu bila kuonekana.
Makanisa mengi ya nigeria ni uchawi na ushetani tu, hamna lolote.

ndugu yangu,unahushahidi wa unayo ya ongea? Wakati mwingine utajichumia dhambi kwa kumkufuru mungu kwa maneno ya mitaani,hizo nguvu za giza au mapepo uliwapa wewe hao watumishi wa mungu? Ni vyema kila mtu kuheshimu imani za wengine,ikiwa mwigulu ameona kwenda nigeria ni vyema kwake basi hiyo ni imani yake pia na kwa mungu ni haki pia sawa sawa na imani yake,kimsingi heshimu imani za wengine.
 
ndugu yangu,unahushahidi wa unayo ya ongea? Wakati mwingine utajichumia dhambi kwa kumkufuru mungu kwa maneno ya mitaani,hizo nguvu za giza au mapepo uliwapa wewe hao watumishi wa mungu? Ni vyema kila mtu kuheshimu imani za wengine,ikiwa mwigulu ameona kwenda nigeria ni vyema kwake basi hiyo ni imani yake pia na kwa mungu ni haki pia sawa sawa na imani yake,kimsingi heshimu imani za wengine.

Shiiiindwa Pepo mchafu.
 
mungu anapatikana nigeria?

ndugu,ni kweli kabisa kwamba mungu yupo popote pale,ila ndani ya wanadamu kuna kitu kinaitwa imani,katika mungu,na pia mungu anawatumishi wake na wapopote ulimwenguni,sasa ikiwa ndg mwigulu ameamua kwenda nigeri ni sawa kabisa hata mimi nampongeza,ni lazima tujue ya kwamba uwenda ikawa [tbj] amefanyika baraka sana katika maisha yake hivyo ameona furaa kwenda kwake,kila mwanadamu kuna watumishi ambao wamefanyika baraka kwake na anao wapenda,ni hayotu.
 
Duh...Mungu anakaa nyumba gani hapa Tanzania nikamtembelee?

Hii ni mpya, maanasikuwahi kusikia kuwa Mungu ni mkazi wa Tanzania pekee na hayupo kwenye nchi zingine.

Sio lazima uende Nigeria hata hapa Mungu yupo.
 
mpaka majinamizi ya mauaji aliyofanya yaishe itabidi arudi SCOAN labda kila mwezi hapo ndio ndoto za maruwe ruwe zitaisha
 
MUNGU WANGU JEHOVA,akurehemu maana hujui usemalo,
mwisho wa siku utajua ukweli,kwani MUNGU,anakupenda.

Kwani ulisikia wapi Mungu anamchukiaga mtu?

Nakemea mapepo wachafu kama TB Joshua anavyokemea mapepo au hutaki na mimi niwe Nabii?
 
Sahihisho tafadhali. Mungu hapatikani Nigeria pekee. kuna ukweli unaopindishwa hapa. wanaenda kufuata majini ya TB Joshua huo ndio ukweli.

Ushindwe na ulegee!!
 
Heri ya huyu aliyekwenda kanisani kuliko wale waliokwenda kugonga kikombe cha babu pande za Samunge Loliondo e.g Steven Wassira, Willium Lukuvi, John Magufuli, Jakaya Kikwete etl.

Mbona umemsahau Mzee Ndesamburo, Mbowe, LEMA na wengineo wa upande wa pili?
 
Mungu ni popote ila chakujivujia ni pale mwanadamu anapokimbilia Mungu popote iwe Tz au nje nijambo jema sana.God bless u Mwigulu
 
Kwani ulisikia wapi Mungu anamchukiaga mtu?

Nakemea mapepo wachafu kama TB Joshua au hutaki na mimi niwe Nabii?

ni kweli,MUNGU hamchukii mtu, pili siyo vyema kumwita mtumishi wa MUNGU pepo ikiwa ni mtumishi wa kweli wa MUNGU na wewe unamdharau na kumdhihaki ujue laana ya MUNGU ipo juu ya kichwa chako mpendwa ni bora utubu,tatu unabii au utumishi mtu aupati kwa kupenda yeye bali uitwa na MUNGU kinyume na hapo hakuna utumishi bali unajifurahisha mwenyewe,
 
ni kweli,MUNGU hamchukii mtu, pili siyo vyema kumwita mtumishi wa MUNGU pepo ikiwa ni mtumishi wa kweli wa MUNGU na wewe unamdharau na kumdhihaki ujue laana ya MUNGU ipo juu ya kichwa chako mpendwa ni bora utubu,tatu unabii au utumishi mtu aupati kwa kupenda yeye bali uitwa na MUNGU kinyume na hapo hakuna utumishi bali unajifurahisha mwenyewe,

Hujanielewa, nimekwambia nakemea mapepo kama TB Joshua anavyokemea mapepo.
Manabii ni wengi tu ndiyo nazichanga nikishazikamata mtanijua sana tu hata wewe na familia yako mtakuwa mnakuja kanisani kwangu sana.
 
Wanajamvi Salaam,

Katika Muda Na Saa Hii Mh. Mwigulu Yuko Katika Kanisa La Nabii TB Joshua Lagos Nigeria Akiabudu.

Katika Siku za Karibuni Mwenendo Na Tabia Za Mbunge Huyu Wa Iramba Na Naibu Wa Fedha Zimebadilika. Amekuwa Mstaarabu Katika Kauli Zake. Je, Ameamua Kuokoka Na Kubadilika Kweli Au Kuna jingine?

Napenda Sana Aendelee Kuwa Katika Njia Hii.[/QUOTE

kumfikiria Mwigulu ni kupoteza muda, MCHAWI hawezi kuwa muumini wa Mungu bali Msanii. Kama ni muumini wa Mungu mwambie avue hiyo scuff yenye hirizi basi. Huyo ni MCHAWI NA kwenye hiyo scuff kuna hirizi hata usiku analala nayo
 
ni kweli,MUNGU hamchukii mtu, pili siyo vyema kumwita mtumishi wa MUNGU pepo ikiwa ni mtumishi wa kweli wa MUNGU na wewe unamdharau na kumdhihaki ujue laana ya MUNGU ipo juu ya kichwa chako mpendwa ni bora utubu,tatu unabii au utumishi mtu aupati kwa kupenda yeye bali uitwa na MUNGU kinyume na hapo hakuna utumishi bali unajifurahisha mwenyewe,
Mtumishi wakweli wa Mungu yukoje?
 
Hujanielewa, nimekwambia nakemea mapepo kama TB Joshua anavyokemea mapepo.
Manabii ni wengi tu ndiyo nazichanga nikishazikamata mtanijua sana tu hata wewe na familia yako mtakuwa mnakuja kanisani kwangu sana.

samahani,ndugu siku kuhelewa vizuri,pili ni kushauri kwamba MUNGU hadhihakiwi,tatu mimi YESU yupo ndani yangu,kimsingi ni mekomaa kiwokovu siyo mchanga kiroho,ROHO MTAKATIFU,ananiongoza,nne nawa heshimu sana watumishi wa MUNGU kwani najua huduma ilivyo nzito siyo nyepesi kama unavyo dhani wewe ndugu,
 
Mtumishi wakweli wa Mungu yukoje?

asante kwa swali ziri unataka kumjua? fungua bibilia yako {1yohana 4:}kwa maandiko hayo utaifahamu kweli na hiyo kweli itakuweka huru sasa ikisha ujua ukweli ni vyema basi ukawa helimisha na wengine kwani kwa kutokujua hayo wamewatukana sana watumishi wa MUNGU,
 
Naangalia Emmanuel TV hapa naona kuna bendera kama kumi hivi za Tanzania akiwemo Mwigulu Nchemba. Ni jambo la kutia faraja kuona watu wanamkimbilia Mungu!!
TBJoshua siyo mtumishi wa Mungu. Ni mtu anayelipwa kama Shehe Yahaya kufanya spining za politics ili kuwaandaa kisaikolojia watu kama nyinyi ambao hata kusoma biblia kmekuwa shida. Umeona wapi Yesu akishirikiana na makuhani na manabii wa uongo? soma Yohana 10 yote ujue maana ya mtumishi wa Mungu. Huyu TB Joahua yuko busy kutabiri viongozi qanaokuja kwa kitumia taarifa ya vyombo vya usalama vya nchi husika. na amini nakuambia, hawezi toa utabiri wa TZ kwa sasa mpaka ajirishe jinsi serikali ilivyojiandaa kuiba kura na aone ni scientifically possible. vinginevyo anauchuna! TB Joahua ni tapeli la kutupwa na kama ananguvu za kinabii anilaani mie tuone!
 
Back
Top Bottom