Mwigulu Nchemba ni tatizo-Balile

Mwigulu Nchemba ni tatizo-Balile

Hivi kwanini tunapoteza muda wetu kumjadili Mwigulu , kijana aliyeshindwa kabla ya kuanza ?
 
Mhariri wa gazeti la JAMHURI Deodatus Balile amedai kushangazwa na hatua ya Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba kushambulia vyombo vya habari bungeni kwa madai kuwa vyombo hivyo kazi yake ni kufanya uchochezi.

Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star TV asubuhi hii Balile amewapongeza wabunge Peter Serukamba na Jenister Mhagama wa CCM walioungana na wale wa upinzani kulaani mswada wa serikali wa kuzidi kukandamiza wanahabari.

Mwigulu Nchemba akichangia Mswada huo bungeni kwa kutumia lugha kali na ya kuudhi alivishambulia vikali vyombo vyote vya habari na hasa magazeti kwa madai kuwa lengo lao kubwa ni kutaka nchi isitawalike.Pia alilaani Chadema kwa kutoa hotuba ya upinzani iliyokuwa inatetea wanahabari.

Mwigulu alifika mbali kusema kwamba serikali ifanye haraka kuchunguza pasi za kusafiria wale wote wanaopinga mswada huo wa kukandamiza waandishi wa habari.Kwani alidai yeyote anayepinga mswada huo sio mzalendo!

Hata hivyo bunge liliukataa mswada huo kwa kauli moja hali iliyomsononesha sana Mwigulu Nchemba.

Mwiguru na Lema wanafanana tu,tofauti mbili mmoja amesoma na mwingine amepita darasani
 
Mwigulu akiongea nahisi kinyaa. nakasirika sana! Nakumbuka mbinu zake za kigaidi, uuwaji na ujambazi alivyofanya kwa wananchi wasiokuwa na hatia. Mungu alipize kisasi juu yake.

Hakuna kitu kibaya kama kulaaniwa na kila mwanadamu!
 
usinitafutie ban humu ndani ya JF, nani kakuambia kuwa watu wa singida ni washamba. Mshamba ni ww ambaye hujawahi fika Singida.
Ujinga anaofanya Mwigulu usikufanye ututukane watu wa Singida, ila jamaa Mwigulu anatia aibu, jamaa anawaza hovyo hovyo kama mtu ambaye hana exposure yoyote, hata wengine wasio na exposure nao nawaona wanawaza vizuri kuliko yeye, hivi tuseme jamaa shule haikumfungua kabisa namna bora ya kuona mambo?
i know u, mwigulu, are reading this comment, let us hear from you

Mwigulu Nchemba ni jembe!
akipitishwa na chama kuwania urais nitampa kura yangu
 
Last edited by a moderator:
Siasa za mwigulu zimeshindwa na zimepitwa na wakati, nchi ilishatoka kwenye siasa za zidumu fikra za mweneyekiti zamani sana yeye hasipobadilika upepo wa mabadiliko utamzoa

"First class Economist " Ana mawazo Kama ya Mzee wa Enzi Za ugagakikikoko.........ni aibu kwa kijaaana wa umri wake kutoelewa kazi mzuri ya wanajabari...
Hata Kama Ana hasira nao kwakuwa wamemfichua Mara nyingi kwenye kila kitengo chake na Ramadhani Ighondu " home boy "..kwenye kupenyeza mauwaji ya Moro,mwangosi,kibanda,ulimboka,Igunga,arumeru ,Arusha etc....haiweki uhalali wa kutoona umuhimu wa wanahabari...
 
Mwigulu, hajawahi kutamka neno moja jema kwenye kunywa chake ......
 
Mhariri wa gazeti la JAMHURI Deodatus Balile amedai kushangazwa na hatua ya Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba kushambulia vyombo vya habari bungeni kwa madai kuwa vyombo hivyo kazi yake ni kufanya uchochezi.

Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star TV asubuhi hii Balile amewapongeza wabunge Peter Serukamba na Jenister Mhagama wa CCM walioungana na wale wa upinzani kulaani mswada wa serikali wa kuzidi kukandamiza wanahabari.

Mwigulu Nchemba akichangia Mswada huo bungeni kwa kutumia lugha kali na ya kuudhi alivishambulia vikali vyombo vyote vya habari na hasa magazeti kwa madai kuwa lengo lao kubwa ni kutaka nchi isitawalike.Pia alilaani Chadema kwa kutoa hotuba ya upinzani iliyokuwa inatetea wanahabari.

Mwigulu alifika mbali kusema kwamba serikali ifanye haraka kuchunguza pasi za kusafiria wale wote wanaopinga mswada huo wa kukandamiza waandishi wa habari.Kwani alidai yeyote anayepinga mswada huo sio mzalendo!

Hata hivyo bunge liliukataa mswada huo kwa kauli moja hali iliyomsononesha sana Mwigulu Nchemba.

Huyu Mwigulu ni Janga Kama Taifa maana kichwani Ana kitu zile zile za KiKomunisty za kukandamiza na kuuwa Watu wasio na hatia. Mungu aliondoshe Janga hili la Mwigulu kwa kumpa Maradhi yasiyopona
 
savimbi bana bado anaha**sha pumba point, pole yake
 
usinitafutie ban humu ndani ya JF, nani kakuambia kuwa watu wa singida ni washamba. Mshamba ni ww ambaye hujawahi fika Singida.
Ujinga anaofanya Mwigulu usikufanye ututukane watu wa Singida, ila jamaa Mwigulu anatia aibu, jamaa anawaza hovyo hovyo kama mtu ambaye hana exposure yoyote, hata wengine wasio na exposure nao nawaona wanawaza vizuri kuliko yeye, hivi tuseme jamaa shule haikumfungua kabisa namna bora ya kuona mambo?
i know u, mwigulu, are reading this comment, let us hear from you

ni kweli wanasingida washamba,
case study:mwigu
 
Tuache chuki binafsi. Balile ni mzuri katika kuona na kupresent arguments zake. Ni dhambi kubwa kumlinganisha kipanga kama Balile na Mwigulu.

Balile amekuwa "kipanga" lini? Deodatus Balile nimemfahamu tangia akiwa anafundisha Secondary ya Mugeza huko Mkoani Kagera na baadaye akawa "puppet" wa Rostam Aziz - Leo unamwita "kipanga"? SOB!!!
 
Balile amekuwa "kipanga" lini? Deodatus Balile nimemfahamu tangia akiwa anafundisha Secondary ya Mugeza huko Mkoani Kagera na baadaye akawa "puppet" wa Rostam Aziz - Leo unamwita "kipanga"? SOB!!!

Mtu si huwa anajifunza na kujijengea uwezo kadiri anavyokomaa katika taaluma! Siamini kama kwa kumfahamu kiasi hicho kunabadili tathmini na maoni ya watu wengine juu ya Balile. Otherwise let us just respect views from others. Si lazima wote tuwe na mtazamo unaofanana katika mambo
 
Hivi kwanini huwa tunapoteza muda kujadili kauli kama za kina mwigulu?


Historia haiishiwi wino.
 
nahisi Mwigulu anatumia ile kitu ya sekei, sio bure
huwa anaropoka sana bila kufikiria.
 
Back
Top Bottom