Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
umeona eeh,huyu balile ni bonge ya mnafiki.Tatizo la watu kama akina Balile ni wabinafsi sana! Wakati watu karibia wote ukiacha ile Misukule ya buku 7 ya Lumumba, wanamlalamikia huyu gaidi yeye aliziba masikio aliona hayamuhusu, leo hii, gaidi, Taswira kapiga kwenye maslahi yake ndio anajifanya kumfahamu. Nyambaff! Tulia akunyoe mpaka nywele za kikalio.