Mwigulu Nchemba ni tatizo-Balile

Mwigulu Nchemba ni tatizo-Balile

Nimepita mahali wazee wanamjadili Mwigulu. Mzee mmoja tena mwenye hekima akasema huwa akimwona Mwigulu anazungumza kwenye tv anazima tv

wewe umepita tu umejuaje kama anabura uongo mwingine hat msingi havina.
 
mhariri wa gazeti la jamhuri deodatus balile amedai kushangazwa na hatua ya naibu katibu mkuu ccm mwigulu nchemba kushambulia vyombo vya habari bungeni kwa madai kuwa vyombo hivyo kazi yake ni kufanya uchochezi.

Akizungumza katika kipindi cha tuongee asubuhi cha star tv asubuhi hii balile amewapongeza wabunge peter serukamba na jenister mhagama wa ccm walioungana na wale wa upinzani kulaani mswada wa serikali wa kuzidi kukandamiza wanahabari.

Mwigulu nchemba akichangia mswada huo bungeni kwa kutumia lugha kali na ya kuudhi alivishambulia vikali vyombo vyote vya habari na hasa magazeti kwa madai kuwa lengo lao kubwa ni kutaka nchi isitawalike.pia alilaani chadema kwa kutoa hotuba ya upinzani iliyokuwa inatetea wanahabari.

Hata hivyo bunge liliukataa mswada huo kwa kauli moja hali iliyomsononesha sana mwigulu nchemba.

watu walikuwa hawajui kuwa nchemba ni mbunge asiye ana akili timamu?
 
Mhariri wa gazeti la JAMHURI Deodatus Balile amedai kushangazwa na hatua ya Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba kushambulia vyombo vya habari bungeni kwa madai kuwa vyombo hivyo kazi yake ni kufanya uchochezi.

Akizungumza katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star TV asubuhi hii Balile amewapongeza wabunge Peter Serukamba na Jenister Mhagama wa CCM walioungana na wale wa upinzani kulaani mswada wa serikali wa kuzidi kukandamiza wanahabari.

Mwigulu Nchemba akichangia Mswada huo bungeni kwa kutumia lugha kali na ya kuudhi alivishambulia vikali vyombo vyote vya habari na hasa magazeti kwa madai kuwa lengo lao kubwa ni kutaka nchi isitawalike.Pia alilaani Chadema kwa kutoa hotuba ya upinzani iliyokuwa inatetea wanahabari.

Hata hivyo bunge liliukataa mswada huo kwa kauli moja hali iliyomsononesha sana Mwigulu Nchemba.

Inasikitisha saana kuona Balele ndo anagundua sasa kuwa mwigulu ni tatizo kama lilivyo la majangili waua tembo na faru.
 
Mwigulu ni bomu tena la hatari nchini. Hajui kabisa siasa za staha.Halafu inaonesha ni mtu wa visasi sana na chuki binafsi.
 
mchuma janga...........................
hilo jamaa ni janga kwa wanairamba na maccm wenzake.
 
Vita vya panzi furaha kwa kunguru,,,,,balile ndio amejuo leo
 
Watu hawapingi msimamo wake! ila wanashaanga kuchelewa kwake kumjua Mwigulu Nchemba kama ni janga la taifa

Balile yupo sahihi.

Katika mapambano haya ni lazima tuunganishe nguvu maana msingi bora wa tasnia ya habari hujenga taifa bora na lenye ukomavu kidemokrasia.
 
Huyo Balile mwenyewe hajitambui! Siyo ndiyo huyo aliyesema eti gari aina ya Jeep inauzwa milioni 800?!?! Toka alivyosema hivyo, nikamtoa nje kabisa.

Lakini kwa ujumla, waandishi wa habari wa Bongo, ni majanga. Toka walipokatazwa kuingia na kamera kwenye mkutano wa 'mmliki' wa Dowans, nikawatoa nje kabisa.
 
Balile yupo juu nimemfatilia kuanzia mwanzo hadi mwisho!!! Haya mambo ya kuwabana waandishi wa habari kwa kigezo cha "siri sana" hayafai hata risiti za chai ya mil100 nayo ni siri.
 
Nimepita mahali wazee wanamjadili Mwigulu. Mzee mmoja tena mwenye hekima akasema huwa akimwona Mwigulu anazungumza kwenye tv anazima tv

Siyo huyo mzee tu, wako wengi mno. Ni dhahiri kwamba Mwigulu anamchafua mno J. Kikwete na kuidhoofisha CCM. Na kosa dogo husababisha anguko kubwa mno. Kosa dogo alilolifanya J.Kikwete kumteua Mwigulu Nchemba kwenye nafasi yake hiyo; ni kosa dogo lakini litakaloibwaga CCM vibaya.

Leo hii, J.Kikwete anaonekana anafadhiri ugaidi wa kisiasa kupitia matendo ya Mwigulu. Huu ni wakati mwafaka wa wana CCM kumshauri mwenyekiti wao kumtoa Mwigulu katika nafasi zote za uongozi ndani ya chama.
 
Mwigulu thamani yake inazidi kushuka na atakapoanguka hawezi kuinuka tena. Siasa gani za kuchomea wenzake nyumba !!!!?
 
Nlishasema ...mwiguluni kijana lakini anawaza kama mtu wa miaka themanini....
 
Nimepita mahali wazee wanamjadili Mwigulu. Mzee mmoja tena mwenye hekima akasema huwa akimwona Mwigulu anazungumza kwenye tv anazima tv

Huyo Mzee ana wivu wa kike! wala hana hekima yetote. Mwigulu ni tishio sana kwa CHADEMA, wanamwogopa kama wanavyoogopa kufanya uchaguzi.
 
Nimepita mahali wazee wanamjadili Mwigulu. Mzee mmoja tena mwenye hekima akasema huwa akimwona Mwigulu anazungumza kwenye tv anazima tv

umeona eee?? Ni tanzania nzima huwa wanazima kabisaaa na kama siyo kuzma huwa wanapata kichefuchefu wakimwona
 
Huyo Mzee ana wivu wa kike! wala hana hekima yetote. Mwigulu ni tishio sana kwa CHADEMA, wanamwogopa kama wanavyoogopa kufanya uchaguzi.

Kaoshe masabur yako msalani,wewe hujui kuwa mwigulu halali usku kucha akiunda magenge ya magaidi ili kujinusuru dhidi ya chadema?? Wewe unaota ndoto za kiseeeen,,ge
 
Kaoshe masabur yako msalani,wewe hujui kuwa mwigulu halali usku kucha akiunda magenge ya magaidi ili kujinusuru dhidi ya chadema?? Wewe unaota ndoto za kiseeeen,,ge
Mwigulu atabaki kuwa tishio kwenu, maana hata kujenga hoja hamjui, sana sana mnajua kutukana tu!
 
Back
Top Bottom