mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,931
- 758
usinitafutie ban humu ndani ya JF, nani kakuambia kuwa watu wa singida ni washamba. Mshamba ni ww ambaye hujawahi fika Singida.Ushamba wa singida unamsumbua.
Ujinga anaofanya Mwigulu usikufanye ututukane watu wa Singida, ila jamaa Mwigulu anatia aibu, jamaa anawaza hovyo hovyo kama mtu ambaye hana exposure yoyote, hata wengine wasio na exposure nao nawaona wanawaza vizuri kuliko yeye, hivi tuseme jamaa shule haikumfungua kabisa namna bora ya kuona mambo?
i know u, mwigulu, are reading this comment, let us hear from you