Hata kama angemlipia $1,000,000. Watanzania tunachopinga ni fedha haramu/za wizi/ za ufisadi. Huyu mwigulu anataka kupangia watu matumizi kwa pesa zao. Hahahahahahaha........
Vilevile ukiwa mwanachama wa Chadema ladhima uwe na akili za .........................couch2: naogopa Ban )Kweli ukiwa mwanachama ccm lazima uwe na akili za maiti ama uwe una vuta bange
Bado siamini kama wafuasi wa CHADEMA ni vipofu kiasi hiki kwa swala linalogusa viongozi wao wakuu wa chama.
Kama leo mnahalalisha na kuunga mkono jambo ambalo ni dhahiri linaiondolea heshima na Imani CDM mbele ya jamii, nina uhakika kesho CDM ikiwa madarakani wafuasi wa CHADEMA wataunga mkono na kuhalalisha Kuuza nchi mchana kweupe, hata kama pesa za mauzo watagawa kwa kila mtanzania.
Huo ni UTUMWA WA KIFIKRA, na hamna budi kubadilika, shame on you Pro Chadema na viongozi wake wote ambao mmeshindwa kukemea ama kukubali kua Mbowe amekosea..
Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!
Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
Ni vizuri akataja huyo mtoto anasoma shule gani, na mtoto wa chekechea analipiwa ada kiasi gani. Vinginevyo yote ni mboyoyo! Mtu yeyote anaweza kuwaaminisha watu upumbavu wake, mfano anaweza kusema Mwanaasha analipiwa ada dola laki 5 hapa hapa bongo bila facts.
Hadi sasa bado wewe ni ZUZU? Umekaririshwa na viongozi wako Tanzania ni masikini wakati wenyewe wanaishi kama wapo peponi na wewe kwa UZUZU wako unakubali?PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
Usiwe mpuuzi. Huijui fedha na tabia zake wewe. Hivi kama kwa mwaka unakusanya revenue ya bilion moja,baaa ya makato yote ya tra na wengineo unabakiwa na Mil 700+ inakuzuis nini kununua kiatu hata kwa sh 2,000,000?hapa ndio unapoweza kufanya upembuzi yakinifu.
Kama kweli mbowe anafanya hayo huo ni uchoko bila kujali pesa izo amezipataje !
Uongoz huanzia ngazi ya familia lakini kama ndo mbowe huyu anayelalamikaga serikali ina matumizi ovyo ya pesa yeye ndo atazd kwa mfano huu.
Wanabodi.
Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.
SOURCE: HABARI STAR TV