Wanabodi.
Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.
SOURCE: HABARI STAR TV
wewe onyesha uharamu wa hela za mbowe sio unabweka tu bila hoja! Hizo hela za ada ya mwanaye kaliibia taifa au nizakwake?Loh!
Wapenzi wa Chadema ni watumwa wa kifikra.
MWIGULU akumbuke pia kuwa baba yake freeman mbowe ndiye aliyemnunulia nyerere suit za kwenda uk kwa malkia kuomba uhuru
Wanabodi.
Mbunge wa Iramba na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba, leo kwenye Mkutano wa CCM Morogoro, akihutubia Wananchi kasema Mbowe anasema anataka kuwakomboa masikini na kulalamika viongozi wa CCM wanasomesha watoto wao nje ya nchi kwa pesa nyingi wakati yeye Mbowe, anamlipia chekechea tu mtoto wake dola 15,000 kwa mwaka zaidi ya milioni 20.
SOURCE: HABARI STAR TV
Kwanza Mbowe hana mtoto anaesomesha Chekechekea kwa sasa hivi. Hilo la kwanza. La pili ishu hapa si kiasi gani Mbowe anatumia kusomesha wanawe bali ni vipi hizo pesa za kusomeshea amezipata.
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
kati ya watumwa wa CDM na nyie uamsho mnaochoma makanisa sasa ni nani mtumwa kifikra?
Hata sikushangai kwani umebahatika kuwa na eilimu ahera zat y ur nt gud at ol.
Loh!
Wapenzi wa Chadema ni watumwa wa kifikra.
Wewe ndiyo mtumwa wa fikra Magamba usiye na aibu
Mbowe anatumia fedha zake halali wakati mafisadi wanatumia fedha za uma kwa njia ya wizi
Mbowe hizo pesa alizonazo ni za Baba yake na pia aliisaidia Nchi wakati wa Uhuru; Nyerere anamfahamu hata Mlezi wa CCM anafahamu Jinsi Mzee Mbowe alivyofaifanyia Nchi yetu.
Hakuingia kwenye siasa alibaki kwenye Biashara zake; kwahiyo hakuchota toka serikalini kama Jamaa walioko serikalini sasa hivi, wana mali ndiyo wanaruhusa ya kuitumia. Na tunaiona kama Machame hotel, Na Disco Club ilioko Dar pia Gazeti
Sasa tukiuliza Lau ana nini mpaka kuwa na Majumba South Afrika lakini hajajenga Mwanza?
Rais wetu kapeleka watoto kusoma Malawi
Mafisadi wengi ndani ya CCM...
Angejaribu kujisafisha yeye Mwenyewe aache Matusi na kuvaa skafu ya bendera ya Taifa ni kosa
Katika uzi kama huu ndio utakapowajua CDM, yaani kama wana akili za kushikiwa, wanatetea kila jambo!
Hivi kwa akili zenu, ada kwa mwaka chekechea karibu milioni 20 useme haina shida?
Jipange tena aibu uliyoipata meru bado inakusumbua.umemshindwa Dk Slaa umehamia kwa Mbowe ! Umekuja UDSM kutoka Iramba Mbowe yupo Town long tym.
PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
PHD yako haijakusaidia, kwa nchi masikini kama TZ, na kwa mtu kama mbowe anayejidai kutetea umasikini wa watanzania, kama kweli 20M kwa mwaka just kwa chekechea si pesa ndogo. kwa hiyo hoja ya sh ngapi inamata sana.
mbowe ana fedha halari na safi
- :wink2: